Je, marais wa Afrika wameambizana kutumia magari ya Toyota kwenye safari zao?

Magari yameandaliwa na Tanzania! Nchi mwenyeji. US President ndo husafiri na magari yake ndege inayatanguliza Rais anayakuta
 
Serikal ya Tanzania ndyo magar yake yote kwa watumish waumma na hao marais hawaji na magar yao watazkuta uku ndy izo toyota
 
Serikal ya Tanzania ndyo magar yake yote kwa watumish waumma na hao marais hawaji na magar yao watazkuta uku ndy izo toyota
Sawa mkuu ila mbona rais wa Somalia kaja na BMW na wa Djibout kaja na BENZ ?
 
Kuba watu hampaswi hata kuandika kitu humu sasa ww hujui kama magari ni ya serikali yetu mnatuchosha nyie darasa la 4 hv ww ukienda kusalimia kijijini unabeba na maji yako
 
Mwambie kuwa kuna taasisi moja ya Serikali inaitwa GTA (Government Travel Agency). Chini ya wizara ya Ujenzi Ndiyo inamiliki hayo magari. Sometimes hukodi kama imezidiwa.
 
Mwambie kuwa kuna taasisi moja ya Serikali inaitwa GTA (Government Travel Agency). Chini ya wizara ya Ujenzi Ndiyo inamiliki hayo magari. Sometimes hukodi kama imezidiwa.
GTA ilikuwa chini ya TEMESA, imefutwa kiaina maana majukumu yake ni kama baadhi ya taasisi walikuwa wakiyafanya. Magari yao yaliyobaki wameyapaki pale Keko Mwanga karibu na MSD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…