Je, marais wa Afrika wameambizana kutumia magari ya Toyota kwenye safari zao?

Bado UJINGA ni adui mkubwa wa taifa. Ndugu kwa akili yako ukajua marais wote walikuja na magari yao kwenye ule mkutano? Hujui kuwa yale ni magari ya serikali ya Tanzania yaliyotumika maalum kuhudumia hao wageni? Nimesikitika sana.
Dharau pia ni adui mkubwa wa maendeleo ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…