I implicit memory JF-Expert Member Joined Nov 14, 2024 Posts 806 Reaction score 926 Feb 21, 2025 #61 AfricaUnited said: Hakuna mkataba ,serikali inanunua gari toyota tanzania au wakala haijafungwa kununua toyota tu Click to expand... Asante mkuu
AfricaUnited said: Hakuna mkataba ,serikali inanunua gari toyota tanzania au wakala haijafungwa kununua toyota tu Click to expand... Asante mkuu
Dede 01 JF-Expert Member Joined May 12, 2024 Posts 1,182 Reaction score 2,248 Feb 22, 2025 Thread starter #62 MamaSamia2025 said: Bado UJINGA ni adui mkubwa wa taifa. Ndugu kwa akili yako ukajua marais wote walikuja na magari yao kwenye ule mkutano? Hujui kuwa yale ni magari ya serikali ya Tanzania yaliyotumika maalum kuhudumia hao wageni? Nimesikitika sana. Click to expand... Dharau pia ni adui mkubwa wa maendeleo ya mtu.
MamaSamia2025 said: Bado UJINGA ni adui mkubwa wa taifa. Ndugu kwa akili yako ukajua marais wote walikuja na magari yao kwenye ule mkutano? Hujui kuwa yale ni magari ya serikali ya Tanzania yaliyotumika maalum kuhudumia hao wageni? Nimesikitika sana. Click to expand... Dharau pia ni adui mkubwa wa maendeleo ya mtu.
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Feb 22, 2025 #63 Half american said: Zile double kibini wanazotumia polisi ni kampuni gani? Click to expand... Wachina Ama Korea Pia Nadhani Ni Msaada Ule
Half american said: Zile double kibini wanazotumia polisi ni kampuni gani? Click to expand... Wachina Ama Korea Pia Nadhani Ni Msaada Ule