Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Msukule naona unataka kulia jamani poleee toto ya sidechick,toto ya hawara.

Yeah JF kiboko ya waongo toto ya hawara ilikuja kubisha hapa haijaachika ikaumbuliwa na kukimbia ID yake
Hahahaha. Ndoa ya mamaake Mange imekuumbua umehamia miguu yake sasa hivi umeishia kwenye ndoa ya Mange.

Umegeuka popcorn hutulii...
 
Leta hizo picha za ndoa niumbuke zaidi🤣🤣🤣🤣watunga stories huwa mnafurahisha

#totoyahawara
Hahahaha. Ndoa ya mamaake Mange imekuumbua umehamia miguu yake sasa hivi umeishia kwenye ndoa ya Mange.

Umegeuka popcorn hutulii...
 
Upo sahii kabisa Mange alimkana Mama yake Mzazi anakaa Tandika maswekeni akajipenyeza kwa Mwele Kua ndio mama Yake wakati Mwele alikua ni Mchepuko wa baba yake



Mange Hakutaka watu wamjue Mama yake mzazi alikua anamficha Ficha Yule mama kwa sababu ya umaskini japo alishaanza Kua na kipato mama yake akiwa bado hajafariki.

Naona alikuja kugundua Kua mama ni Mama when it was too late akakosa Baraka za mama yake

Kama kimambi alikua na pesa inakuaje mama mtu aishi maisha ya shida
 
Dr Mwele kumbe alikuja kufanya diet akapungua sana hiyo picha naona hapo akiwa na Mange hakua hivyo alikua pande la Mwanamke Paja nHiii nhaaa....
Ushaskia mtu kafariki na kansa

Bila shaka alikuwa anaumwa kitambo hata afya yake ilitetereka taratbu we unadhani diet
 
Mbona Mange alishawahi kusema mama yake ni Mmakonde? Hata picha aliionyesha nafikiri Anne Kilango ni Mparea ama?
Mama yake mange ni Asha Said Hamis ambaye kwao ni Lindi mjini.Asha alikuwa mke wa Mzee Kimambi wakati bado wanahustle.Mzee alipata mkwanja akawa mtu madu mama yake Mange akaamua kumuacha ,akajenga Tandika mtaa wa Lituhi ndo aliishi hapo hadi kifo chake.Katika maisha yake pia alipata watoto wengine wawili,Farida na Allen na baba yake Allen ni marehemu Dr.Makongoro Mahanga.Hii [emoji817]% true.
 
I think as long Mange aliona Dr Mwele amemuelewa na kukubali kumchukulia alivyo despite ya wengi kuona Kama hafai hiyo inatosha sana Mange kumpa thamani huyo dada.

Pia naona hata huyo dada alikuwa anamtembelea Mara nyingi tu na wameishi kwa kuheshimiana so nadhani mheshimu anayekuheshimu.

The fact kwamba mange hajakulia kwa mamake yaweza kuwa sababu ya yeye kutokuwa na ukaribu na ***** ambaye alikuja kufariki kipindi ambacho bado maybe alikuwa anahitaji matunzo au msaada, hatujui labda leo mamake angekuwa hai labda angekuwa alimjengea nyumba au akamhamisha huko manzese na kumpeleka kwingine.

You may choose kumpa heshima mtu yeyote anayekupa value.
Acha uongo wewe mkuu,Asha Said Hamis hakuwa maskini na hakuishi Manzese,moja ya nyumba zake iko Tandika mtaa wa Lituhi.Asha akifanya kazi NBMM na huko ndo alikutana na Dr. Makongora Mahanga baba wa mtoto wake wa kiume anaitwa Allen.Nikiwatembelea kwao hadi Lindi nadhan mtaa wa Mpilipili.Mzee Said Hamis akijivunia watoto wake wawili wa kike akiwemo Asha .Udogoni alibezwa na majirani kwa kuzaa watoto wa kike,lakini walimpa heshma Sana maana walikuwa na uwezo kiuchumi.Mwingine alikuwa na mijengo na mmojawapo uko Tabata .Mjengo mwingine watoto wake waliuuza wakanunua nyumba zao wenyewe.Mange hakuwa na haja ya kumficha mama yake kwakuwa mama yake alikuwa amejitosheleza.
 
Sasa jamani tutawajua wote? Ngoja nikupe kashule kadogo:
Position ya mtu katika society inakuwa determined na vitu vitatu
1. Wealth....Mali uliyonayo...eg MO[emoji16][emoji16][emoji16]
2. Education......kiwango Cha elimu...Lisu
3. Outstanding performance....matukio/matendo ya kutukuka/ ya ushujaa uliyoyafanya kama mchezaji mpirà mzuri, mkimbiaji mzuri, mwimbaji mzuri ...... and the like.. wonderful performance...Filbert Bayi

Sasa huyu alikuwa na kipi Kati ya hayo?

Nisamehe bure
Mzee Kimambi alikuwa na pesa haswa,alikuwa anachukua tender za kujenga majengo ya serikali mojawapo ni VETA ya Mtwara.Wakati anajenga huko ndo Babu wa Mange Mzee Said Hamis na mkewe ambaye alikuwa step mom wa Mama yake Mange walipata fursa ya kuwapatanisha Mange na Mzee Kimambi maana baada ya Mange kupata mimba ya Bhoke Mzee alikasirika Sana.Mzee Kimbi alikuwa maarufu kwa sababu ya pesa zake.
 
Kama kimambi alikua na pesa inakuaje mama mtu aishi maisha ya shida
Aisee humu kumejaa uongo! Mama yake Mange alikuwa Maskini! Hapana,namjua physically,napajua hadi kwake na kwao Lindi.Mange hakutaka kuwa naye karibu na hakumlea na alikuwa very strict.Mange alimficha kwa sababu zake yeye na siyo sababu ya umaskini.Mfanyakazi wa NBMM awe kama inavyotajwa,hapana bana.
 
Acha uongo wewe mkuu,Asha Said Hamis hakuwa maskini na hakuishi Manzese,moja ya nyumba zake iko Tandika mtaa wa Lituhi.Asha akifanya kazi NBMM na huko ndo alikutana na Dr. Makongora Mahanga baba wa mtoto wake wa kiume anaitwa Allen.Nikiwatembelea kwao hadi Lindi nadhan mtaa wa Mpilipili.Mzee Said Hamis akijivunia watoto wake wawili wa kike akiwemo Asha .Udogoni alibezwa na majirani kwa kuzaa watoto wa kike,lakini walimpa heshma Sana maana walikuwa na uwezo kiuchumi.Mwingine alikuwa na mijengo na mmojawapo uko Tabata .Mjengo mwingine watoto wake waliuuza wakanunua nyumba zao wenyewe.Mange hakuwa na haja ya kumficha mama yake kwakuwa mama yake alikuwa amejitosheleza.
Unaelewa maana ya neno "may be"???? Uwe unasoma kwa kuelewa hata kama unamfahamu huyo mama au unafahamu alipokuwa anakaa, soma vizuri nilichoandika utaelewa sijasema anakaa Ila nimesema kulingana na yanayosemwa nami nimeweka maneno ambayo yanamaanisha ni speculation tu .
 
Unaelewa maana ya neno "may be"???? Uwe unasoma kwa kuelewa hata kama unamfahamu huyo mama au unafahamu alipokuwa anakaa, soma vizuri nilichoandika utaelewa sijasema anakaa Ila nimesema kulingana na yanayosemwa nami nimeweka maneno ambayo yanamaanisha ni speculation tu .
Mambo ya may be na speculations vya kazi gani? Nimetoa facts.
 
Bora na wewe umesema,yani mtu anapindisha ukweli kisa kujifurahisha nafsi yake.Mange alisema hawezi badili uraia wa Tanzania maana akifanya hivyo tu atakosa haki ya kurithi ardhi Tanzania ambapo ana plots Mbweni ikiwa sehemu ya urithi wake kutoka kwa Baba yake.
Na anashea TBL nafikri baba yao aliwafungulia na ana nyumba Kindononi pia!!Mange yuko vzr hana shida ndogo ndogo!
 
Mama yake mange ni Asha Said Hamis ambaye kwao ni Lindi mjini.Asha alikuwa mke wa Mzee Kimambi wakati bado wanahustle.Mzee alipata mkwanja akawa mtu madu mama yake Mange akaamua kumuacha ,akajenga Tandika mtaa wa Lituhi ndo aliishi hapo hadi kifo chake.Katika maisha yake pia alipata watoto wengine wawili,Farida na Allen na baba yake Allen ni marehemu Dr.Makongoro Mahanga.Hii [emoji817]% true.
Ahsante jf!!!
 
Back
Top Bottom