Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Ndio ukweli, Mobimba na marehemu Dr. Ni mtu na dadaake, wakati Mange na Marehemu ni mtu na step mom (tena mom ambaye alihusika sana kumsaidia huyo dada wa insta)!

Ila Mange alinunua kesi, maana ali pair na ex wa mobimba aliyeko USA kumfanyia personal attack baharia, ila wanajuana vizuri tu!
Kheeeeh kumbe duuuuh.
 
Mangereza ni mtoto wa mke wa kwanza wa kimambi, huyu mama aliitwa Asha Hamisi, mmakonde, bi Asha alimzaa Mange akiwa anafanya kazi chuo cha usafirishaji kama Katibu muktasi
Sasa ndo alikua maskini kweli, kias cha Mange kumficha? Mmmmmh
 
Kama ni hivyo mbona alishindwa kesi ya mirathi na mke wa mzee.
Na angekua wa halali asingeacha kuandika historia yake hii mnayoipamba mitandaoni.
Check source yako ya habari tena vizuri,Mange hakuwahi kushindwa kesi ya mirathi,unless unamwongelea mtu mwingine.Mbona aliweka wazi tu enzi za u turn matokeo ya ile kesi na akamshukuru sana yule wakili maarufu wa kesi za mirathi Mama Tenga kama sijakosea na akawashauri watu wenye shida za mirathi kumtumia yule Advocate 😂
 
Actually Jumanne Kimambi umaarufu wake ulianzia tangia kipindi mzee wa msoga anautafuta ubunge. Kimambi ndiye alikuwa muongoza timu ya kampeni enzi hizo kwani alikuwa na mpunga wa kutosha. JK aliyoingia kwenye uwaziri pia ilimsaidia Sana Kimambi kupata contracts mbalimbali serikalini kama kujenga majumba, fumigation, barabara etc... Hata alivyofariki JK alikuja kumzika Kijijini kwao ORIA, kata ya Kahe, Moshi Vijijini. Huyu mwamba pesa ilimtembelea mapema Sana miaka hiyo mpaka watu wakawa wanasema anauza mapoudaaa...
Hiyo ni miaka gani mkuu?
 
Wanajitambuliasha wagweno wengi wanajua kipare, wapare wengi hawajui kipare nakuambia kwa sababu nimeshakaa ugweno kipindi flani

Wagweno tamaduni zao ni za kipare mfano majina wanatumia ya kipare kama kanyika, kisakeni, kimako, mcharo, kazeni, mrutu, enea, kajiru n.k na ya kike wnatumia ya kipare
Ila wapare wana roho ngumu jamani eeh Mungu niepushie[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kama ni hivyo mbona alishindwa kesi ya mirathi na mke wa mzee.
Na angekua wa halali asingeacha kuandika historia yake hii mnayoipamba mitandaoni.
[emoji2936][emoji2936][emoji2936][emoji2936]

Asee kweli[emoji848]
 
Ndio ukweli, Mobimba na marehemu Dr. Ni mtu na dadaake, wakati Mange na Marehemu ni mtu na step mom (tena mom ambaye alihusika sana kumsaidia huyo dada wa insta)!

Ila Mange alinunua kesi, maana ali pair na ex wa mobimba aliyeko USA kumfanyia personal attack baharia, ila wanajuana vizuri tu!
Ndio maana marehem jpm alikuwa na hasira na Dr sna anajuwa kbsa kuwa anampa mange data za serekali
 
Wewe acha kupotosha. Mwele alikuwa mwanamke wa Baba Mange, waliishi pamoja for more than a year Upanga. So Mwele ni mamaake wa kambo Mange na uhusiano wao umenoga sana kwa sababu Mange hakumpenda mamaake wa kambo wa nyumba kubwa (Mama wa kaka zake akina Anil na Kimambi) so seems alifurahi baba kuwa na mwanamke mwingine.
It seem u know much VIP Ni kweli mzee kimambe alifumuliwa marinda yake au Ni uzushi tu na Ni kwann wamfumue marinda yake tell us the story
 
Duuh umenikumbusha enzi za U-turn
Check source yako ya habari tena vizuri,Mange hakuwahi kushindwa kesi ya mirathi,unless unamwongelea mtu mwingine.Mbona aliweka wazi tu enzi za u turn matokeo ya ile kesi na akamshukuru sana yule wakili maarufu wa kesi za mirathi Mama Tenga kama sijakosea na akawashauri watu wenye shida za mirathi kumtumia yule Advocate [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom