Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Kahe, chekereni, mabogini, new land kule Kuna wapare wengi, japokua pia Kuna makabila mengine kama wamasai

Wakahe na wagweno wengi wanapenda kujitambulisha kama wapare sababu tamaduni za kipare wanazitumia sana japokua Wana lugha zao
Wagweno hawapendi kujitambulisha kama wapare, Ila maeneo hayo ya Kahe, Mabogini, Nyumba ya Mungu, Msitu wa Tembo kote huko ni mchanganyiko wa makabila mengi wakiongozwa na wapare.
 
Punguza uongo Mkuu,hayo maneno ya kejeli hayasaidii uongo wako kuwa ukweli.
uongo gani wakati nimesema nasikia ina maana zilikua tetesi.ni zamani ilisemwa hivyo sio mimi niliyesema
 
Wagweno hawapendi kujitambulisha kama wapare, Ila maeneo hayo ya Kahe, Mabogini, Nyumba ya Mungu, Msitu wa Tembo kote huko ni mchanganyiko wa makabila mengi wakiongozwa na wapare.
Wanajitambuliasha wagweno wengi wanajua kipare, wapare wengi hawajui kipare nakuambia kwa sababu nimeshakaa ugweno kipindi flani

Wagweno tamaduni zao ni za kipare mfano majina wanatumia ya kipare kama kanyika, kisakeni, kimako, mcharo, kazeni, mrutu, enea, kajiru n.k na ya kike wnatumia ya kipare
 
Actually Jumanne Kimambi umaarufu wake ulianzia tangia kipindi mzee wa msoga anautafuta ubunge. Kimambi ndiye alikuwa muongoza timu ya kampeni enzi hizo kwani alikuwa na mpunga wa kutosha. JK aliyoingia kwenye uwaziri pia ilimsaidia Sana Kimambi kupata contracts mbalimbali serikalini kama kujenga majumba, fumigation, barabara etc... Hata alivyofariki JK alikuja kumzika Kijijini kwao ORIA, kata ya Kahe, Moshi Vijijini. Huyu mwamba pesa ilimtembelea mapema Sana miaka hiyo mpaka watu wakawa wanasema anauza mapoudaaa...
Huyu na yule mzee mwingine mchaga aliemiliki ule mgahawa nyuma ya posta mpya walikuwa washikaji wakubwa.

Aisee, pale palikuwa na supu na mtori wa kukutoa jasho asubuhi na mchana.
 
Wanajitambuliasha wagweno wengi wanajua kipare, wapare wengi hawajui kipare nakuambia kwa sababu nimeshakaa ugweno kipindi flani

Wagweno tamaduni zao ni za kipare mfano majina wanatumia ya kipare kama kanyika, kisakeni, kimako, mcharo, kazeni, mrutu, enea, kajiru n.k na ya kike wnatumia ya kipare
Tofaut kat ya wagweno na wapare ni ipi??
 
Back
Top Bottom