Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

I think as long Mange aliona Dr Mwele amemuelewa na kukubali kumchukulia alivyo despite ya wengi kuona Kama hafai hiyo inatosha sana Mange kumpa thamani huyo dada.

Pia naona hata huyo dada alikuwa anamtembelea Mara nyingi tu na wameishi kwa kuheshimiana so nadhani mheshimu anayekuheshimu.

The fact kwamba mange hajakulia kwa mamake yaweza kuwa sababu ya yeye kutokuwa na ukaribu na ***** ambaye alikuja kufariki kipindi ambacho bado maybe alikuwa anahitaji matunzo au msaada, hatujui labda leo mamake angekuwa hai labda angekuwa alimjengea nyumba au akamhamisha huko manzese na kumpeleka kwingine.

You may choose kumpa heshima mtu yeyote anayekupa value.
 
Watu mpo gizani sana anyway, babake mange alifariki miaka mingi
Sasa jamani tutawajua wote? Ngoja nikupe kashule kadogo:
Position ya mtu katika society inakuwa determined na vitu vitatu
1. Wealth....Mali uliyonayo...eg MO[emoji16][emoji16][emoji16]
2. Education......kiwango Cha elimu...Lisu
3. Outstanding performance....matukio/matendo ya kutukuka/ ya ushujaa uliyoyafanya kama mchezaji mpirà mzuri, mkimbiaji mzuri, mwimbaji mzuri ...... and the like.. wonderful performance...Filbert Bayi

Sasa huyu alikuwa na kipi Kati ya hayo?

Nisamehe bure
 
Sasa jamani tutawajua wote? Ngoja nikupe kashule kadogo:
Position ya mtu katika society inakuwa determined na vitu vitatu
1. Wealth....Mali uliyonayo...eg MO[emoji16][emoji16][emoji16]
2. Education......kiwango Cha elimu...Lisu
3. Outstanding performance....matukio/matendo ya kutukuka/ ya ushujaa uliyoyafanya kama mchezaji mpirà mzuri, mkimbiaji mzuri, mwimbaji mzuri ...... and the like.. wonderful performance...Filbert Bayi

Sasa huyu alikuwa na kipi Kati ya hayo?

Nisamehe bure
Tatizo hayo yote Yana majibu sema wewe ni mtoto wa juzi, ungekuwepo enzi ya Mkapa ndio ungeelewa Kimambi ni nani na kwa nini mwanae alijikuta anakaa na celebrities na kwa nini babake aliweza kuweka mtoto wa Malecela Kama kimada wake ingali nae ni msomi mkubwa tu.

Soma alama za nyakati dogo
 
Sasa jamani tutawajua wote? Ngoja nikupe kashule kadogo:
Position ya mtu katika society inakuwa determined na vitu vitatu
1. Wealth....Mali uliyonayo...eg MO[emoji16][emoji16][emoji16]
2. Education......kiwango Cha elimu...Lisu
3. Outstanding performance....matukio/matendo ya kutukuka/ ya ushujaa uliyoyafanya kama mchezaji mpirà mzuri, mkimbiaji mzuri, mwimbaji mzuri ...... and the like.. wonderful performance...Filbert Bayi

Sasa huyu alikuwa na kipi Kati ya hayo?

Nisamehe bure
Ulipoandika lisu nikakuona andazi tu lisu ana ELIMU gani

USSR
 
Back
Top Bottom