Baba Mange ana umri gani by the way?
Marehemu KIMAMBI!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba Mange ana umri gani by the way?
Wakati Kimambi darasa la saba….maisha haya😂Tatizo hayo yote Yana majibu sema wewe ni mtoto wa juzi, ungekuwepo enzi ya Mkapa ndio ungeelewa Kimambi ni nani na kwa nini mwanae alijikuta anakaa na celebrities na kwa nini babake aliweza kuweka mtoto wa Malecela Kama kimada wake ingali nae ni msomi mkubwa tu.
Soma alama za nyakati dogo
Vipi Dr mwele ameacha watoto??Wewe acha kupotosha. Mwele alikuwa mwanamke wa Baba Mange, waliishi pamoja for more than a year Upanga. So Mwele ni mamaake wa kambo Mange na uhusiano wao umenoga sana kwa sababu Mange hakumpenda mamaake wa kambo wa nyumba kubwa (Mama wa kaka zake akina Anil na Kimambi) so seems alifurahi baba kuwa na mwanamke mwingine.
Eleza kinagaubaga. Acha kututishaTatizo hayo yote Yana majibu sema wewe ni mtoto wa juzi, ungekuwepo enzi ya Mkapa ndio ungeelewa Kimambi ni nani na kwa nini mwanae alijikuta anakaa na celebrities na kwa nini babake aliweza kuweka mtoto wa Malecela Kama kimada wake ingali nae ni msomi mkubwa tu.
Soma alama za nyakati dogo
One, these are minor issues to occupy my time and mind; and lastly I can say for sure naweza hata kumzaa baba yako/mama yako! Sitanii! na wala siyo nimekutukana, hapana, nasema ukweli wa umri wangi. 1961 NILIKUWA NA AKILI ZANGU TUNAPATA UHURU IN STD 6!. WASEMAJE? FUTA NENO DOGO BASI!Tatizo hayo yote Yana majibu sema wewe ni mtoto wa juzi, ungekuwepo enzi ya Mkapa ndio ungeelewa Kimambi ni nani na kwa nini mwanae alijikuta anakaa na celebrities na kwa nini babake aliweza kuweka mtoto wa Malecela Kama kimada wake ingali nae ni msomi mkubwa tu.
Soma alama za nyakati dogo
Nimesoma mahali flan kuwa Dr.Mwele aliolewa na Mzee Kimambi ambaye ni Baba yake Mange kwahiyo alikuwa ni Step Mom wake.
Pia Mange anapenda watu wenye majina makubwa, ilikuwa fahari kwake kuwa mtoto wa Mwele.
I think as long Mange aliona Dr Mwele amemuelewa na kukubali kumchukulia alivyo despite ya wengi kuona Kama hafai hiyo inatosha sana Mange kumpa thamani huyo dada.
Pia naona hata huyo dada alikuwa anamtembelea Mara nyingi tu na wameishi kwa kuheshimiana so nadhani mheshimu anayekuheshimu.
The fact kwamba mange hajakulia kwa mamake yaweza kuwa sababu ya yeye kutokuwa na ukaribu na ***** ambaye alikuja kufariki kipindi ambacho bado maybe alikuwa anahitaji matunzo au msaada, hatujui labda leo mamake angekuwa hai labda angekuwa alimjengea nyumba au akamhamisha huko manzese na kumpeleka kwingine.
You may choose kumpa heshima mtu yeyote anayekupa value.
Alikuwa kimada wa mzee kimambi sio ndoa .mistressMbona Mange alishawahi kusema mama yake ni Mmakonde? Hata picha aliionyesha nafikiri Anne Kilango ni Mparea ama?
Yes she was a mistress alishawahi kuolewa na mtu mwingineKwa hiyo mwele hakuwahi kuolewa ama aliolewa akaachika akawa mchepuko wa huyo mzee kimambi?
AiseeMangereza ni mtoto wa mke wa kwanza wa kimambi, huyu mama aliitwa Asha Hamisi, mmakonde, bi Asha alimzaa Mange akiwa anafanya kazi chuo cha usafirishaji kama Katibu muktasi
Anna kilango ni mke wa pili baada ya mama Yao dr mwele kufarikiMbona Mange alishawahi kusema mama yake ni Mmakonde? Hata picha aliionyesha nafikiri Anne Kilango ni Mparea ama?
Anaweza akawa mama Ila kama akituzwa na Huyu dr mwele Mna Haki gani ya kusema kuhusu mama yakeNi kweli mama yake Mange alikuwa mmakonde, Asha. Mwenyezi Mungu amjaalie Rehma
Ni mistress wa baba yake marehemu .Haya aje kwenye maziko huku Tanzania aache kulialia huko ughaibuni. Aje amzike Mama
Kama ni mama ake au sio .nyinyi inawahusu vipi acheni umbea Fanyeni kaziWakuu habari za muda huu.
Wakati wa nyuma kipindi cha hayati John Pombe, kulikua na vichwa viwili vilivyokua havikosi kuleteana maneno ya hapa na pale kwenye Instagram, yupo aliyempigania hayati na mwingine anaponda utawala wa hayati. Yupo Mange kimambi na mwenzake Le mutuzi mobimba, hawa watu wakiwekwa chumba kimoja mmoja lazima avuje damu.
Sasa kubwa nalotaka kujua ivi kuna uhusiano gani kati ya Mwanamama huyu Mange kimambi na familia ya kina Malecela, hasa kutokana na hili la kuondokewa kwa Dr malecela ndugu yake na Le mutuz.
Je, hawa watu wawili Le mutuz na Mange kimambi kipindi wanarushiana maneno walikua wanatuigizia hali ya kuwa wanafahamiana?
Ova.
Mange sio Mpare ni MkaheMama Kilango hana uhusiano na Mange zaidi ya kuwa wote ni Wapare.