peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mzee malechela alimuoa Anne kilango malechela mke wa pili ambaye ni mpare, na mange ni mpare. Hili Pia linawezekanaNimesoma mahali flan kuwa Dr.Mwele aliolewa na Mzee Kimambi ambaye ni Baba yake Mange kwahiyo alikuwa ni Step Mom wake.