Je, Marekani ina uwezo wa kupigana na Houthi kuilinda Israel?

Je, Marekani ina uwezo wa kupigana na Houthi kuilinda Israel?

Kichekesho hiki, kuna tija gani marekani kupigana na kikundi cha vibaka Houths kama sio matumizi mabaya ya resources. Haukupaswa kuwa mjadala huu.
Mwamba anaonekana hajui global politics na fitna za kidunia hao jamaa wakionekana kama ni kero sana marekani na wanaweza kulipa sapot jeshi la Yemen au kikundi kingine chochote kinachopingana na houth wakaanza kuuana wenyewe
 
Mwamba anaonekana hajui global politics na fitna za kidunia hao jamaa wakionekana kama ni kero sana marekani na wanaweza kulipa sapot jeshi la Yemen au kikundi kingine chochote kinachopingana na houth wakaanza kuuana wenyewe
Marekani katoa sana sapot kwa jeshi la yemen kupitia kingdom of saudia arabia ila alichokopata kipi
Ili uwaangamize houthi ama hizbullah pale mashariki ya kati basi kwanza unatakiwa uiangamize iran
Jambo ambalo hawatakaa wajaribu kuibughudhi Iran
 
Marekani katoa sana sapot kwa jeshi la yemen kupitia kingdom of saudia arabia ila alichokopata kipi
Ili uwaangamize houthi ama hizbullah pale mashariki ya kati basi kwanza unatakiwa uiangamize iran
Jambo ambalo hawatakaa wajaribu kuibughudhi Iran
Hahaha sio kupitia kingdom ya Saud Arabia, ni Saudi Arabia mwenyewe ndio anayefanya mavurugu kwa waarabu wenzie kiufupi wale jamaa ni washenzi sana
 
Mwamba anaonekana hajui global politics na fitna za kidunia hao jamaa wakionekana kama ni kero sana marekani na wanaweza kulipa sapot jeshi la Yemen au kikundi kingine chochote kinachopingana na houth wakaanza kuuana wenyewe
Hiyo kazi ya kufitinisha watu inataka pesa nyingi sana.Na ikiwa wanaotaka kufitinishwa wameshamjua mbaya wao na malengo yake basi pesa zinapotea bure
Afghanistan hizo pesa zilitolewa kwa matrilioni zote zikayeyuka na mwisho wa siku wakajuta walichokifanya.Ukijua hali waliyonayo wamarekani sasa mpaka wanakimbia Ukraine hawana tena hizo senti za kuleta fitna
Mwenyezi Mungu ni mjuzi zaidi na daima hamuwachi muovu kushinda kabisa na kama anatumia pesa imeahidiwa ataliwa tu.
 
Hiyo kazi ya kufitinisha watu inataka pesa nyingi sana.Na ikiwa wanaotaka kufitinishwa wameshamjua mbaya wao na malengo yake basi pesa zinapotea bure
Afghanistan hizo pesa zilitolewa kwa matrilioni zote zikayeyuka na mwisho wa siku wakajuta walichokifanya.Ukijua hali waliyonayo wamarekani sasa mpaka wanakimbia Ukraine hawana tena hizo senti za kuleta fitna
Mwenyezi Mungu ni mjuzi zaidi na daima hamuwachi muovu kushinda kabisa na kama anatumia pesa imeahidiwa ataliwa tu.
Mmarekani hataki ugomvi na mrusi hawezi kutia mguu yukrein kama ambavyo mrusi hawez kutia mguu kwa vita za mmarekani zaid kutia fitina indirectly wanajua wakipigana tu ndio mwisho wao wote wawili
Yemen wanamafuta pale afghan kulikua hamna chakuiba so ilikua ni hasara tupu kuendelea kukomaa
 
Kuna mafuriko kwenu Manyara wewe bado unawaza mabwana zako miarabu na miyahudi. Hao miungu wako wamewapa hata pole?
 
Hahaha sio kupitia kingdom ya Saud Arabia, ni Saudi Arabia mwenyewe ndio anayefanya mavurugu kwa waarabu wenzie kiufupi wale jamaa ni washenzi sana
Saudia masilaha yanayofanya asambaze ama afadhali vurugu pale ME kwa 90% hua anauziwa na west na nyingi hua zinatokea kwa us
 
Kichekesho hiki, kuna tija gani marekani kupigana na kikundi cha vibaka Houths kama sio matumizi mabaya ya resources. Haukupaswa kuwa mjadala huu.
Ufahamu chochote kuhusu Yemen bora ungekaa kimya ujifunze.

Unafahamu Bab el-Mandeb ?

Mapipa milioni nne ya mafuta husafirishwa kupitia humo kila siku.

Yeman ni lango kuu la uchumi wa Ulaya na wa kimataifa kumbuka Yemen ndiyo njia nyepesi kupita kutoka Ulaya kwenda Marekani na Africa waasi wa Yemen wana silaha hatari juzi Israel kaomba msaada Nato na Japani.
 

Attachments

  • IMG_7497.jpeg
    IMG_7497.jpeg
    53.9 KB · Views: 4
Saudia masilaha yanayofanya asambaze ama afadhali vurugu pale ME kwa 90% hua anauziwa na west na nyingi hua zinatokea kwa us
Saudia ndio super power pale kati anampunga wakununua chochote kwa yeyote ila anatumia power yake kudistabilize peace
 
Saudia ndio super power pale kati anampunga wakununua chochote kwa yeyote ila anatumia power yake kudistabilize peace
Super power kwenye angle ipi labda maana siku hizi usupa power unaangaliwa pande mingi
Kisiasa kijeshi kiuchumi nk sasa kwasasa saudia labda super kiuchumi ila kisiasa aliishafilisika na kijeshi pia aliisha filiksika sana nandio maana hata houthi alishindwa kuwaondoa hapo jiran yake yemen
Unaweza ukawa na mapesa yakununua kila unachokitaka ila usipate kile unachokilenga saudia pale yemen alituonesha hili na ukraine anatuonesha hili pale kwake anapewa kila aina ya silaha anayoitaka na asio itaka ila bado russia kamkalia kooni
 
Nahuu ndio ukweli
Tena hasa kwanyakati hizi zasasa kisiasa kiuchumi na kijeshi zilivyo us hawezi ama hana uwezo kuingiza boot kwa ground katika laifa lolote lile
Kwanza atakosa sapota kwa mashost zake maana kwahali ya kiuchumi ilivyo us itamfata nani pale NATO au EU aende akampe kampani maana wote hali kwao tete kama sio kisiasa basi kijeshi nakama sio kijeshi basi kiuchumi
Naikitokea ndio us akavamia basi hii nafasi yawazi kabisa kuzidi kuangamia kwake itakayotumiwa na iran ☫ na Russia [emoji635] kumpelekesha us
Us mwenyewe nna imani anajua kama kwasasa kama kuna mtu anaetafutwa aingie mkenge ni yeye sidhanii kama wanaweza wakauingia huo mkenge
Mtoa mada hongera kwako hii mada nzuri sana
Sahizi ni mwendo wa kutibuliana tu, ukianzisha ugomvi watu wanampelekea silaha mgomvi wako.
Marekani wanalijua hilo na hawawezi kuingia kichwa kichwa kwasasa.
Wao wamemuingiza king mrusi walitakiwa wanahakikisha mrusi anapigika kiasi kwamba hajiwezi kabisa kwa usalama wao
 
Super power kwenye angle ipi labda maana siku hizi usupa power unaangaliwa pande mingi
Kisiasa kijeshi kiuchumi nk sasa kwasasa saudia labda super kiuchumi ila kisiasa aliishafilisika na kijeshi pia aliisha filiksika sana nandio maana hata houthi alishindwa kuwaondoa hapo jiran yake yemen
Unaweza ukawa na mapesa yakununua kila unachokitaka ila usipate kile unachokilenga saudia pale yemen alituonesha hili na ukraine anatuonesha hili pale kwake anapewa kila aina ya silaha anayoitaka na asio itaka ila bado russia kamkalia kooni
Kijeshi mkuu
 
Ni kweli hakuna muungano utakaokubali kujitoa muhanga kwa ajili ya USA [emoji1258] tena, mara kwa mara kila nchi inapojaribu kuisaidia USA moja kwa moja hiyo nchi inajikuta inapoteza mwelekeo pande zote..FRANCE , BRITAIN [emoji636], GERMAN [emoji629] zote hizo ni nchi zilizokuwa na nguvu na ushawishi nyanja zote lakini baada tu ya kufungamana na USA wote wamepoteza mvuto na ule ushawishi wao kidunia.

Hapo mashariki ya kati alikuwa amejifunga kwa Saudi [emoji1210] , Jordan [emoji1137], Bahrain [emoji1041] n.k ili tu kuzuia ushawishi wa Iran [emoji1130] anayeonekana tishio kwa Israeli [emoji1134] mshirika wake wa kudumu .

Mambo yamebadilika sasa na dunia inaelekea uelekeo sahihi na ni suala la muda tu Ira
n na Saudi [emoji1210] watakuwa kitu kimoja na kuweka tofauti zao za kimadhehebu, jambo ambalo litakuwa pigo kubwa kwa USA na Israel na vizazi vyao vyote.
Putini aneleke Arabuni Moja ya hoja zitakuwa juu ya namna ya kuisaidia Hamas
 
Ufahamu chochote kuhusu Yemen bora ungekaa kimya ujifunze.

Unafahamu Bab el-Mandeb ?

Mapipa milioni nne ya mafuta husafirishwa kupitia humo kila siku.

Yeman ni lango kuu la uchumi wa Ulaya na wa kimataifa kumbuka Yemen ndiyo njia nyepesi kupita kutoka Ulaya kwenda Marekani na Africa waasi wa Yemen wana silaha hatari juzi Israel kaomba msaada Nato na Japani.
Mkuu Iran si ali-declare mstari mwekundu kwa israel kuingia Gaza. Naomba unijibu wamefanya nini so far baada ya mstari huo kuvukwa na israel.
 
Back
Top Bottom