Qatif
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 379
- 860
Kufuatia Mchezaji wa Klabu ya Yanga Feisal Salum kunukuliwa kwenye mahojiano ya kipindi cha Power Breakfast ya Clouds FM, alisema kuwa yupo tayari kurudi kucheza Yanga endapo Engineer Hersi ataondoka kwa kuwa yeye hana matatizo na Klabu ya Yanga.
Swali kwa Mashabiki wa soka wa Klabu ya Yanga kati ya Engineer Hersi, na Feisal Salum, nani aondoke kwenye Klabu ya Yanga.?
Swali kwa Mashabiki wa soka wa Klabu ya Yanga kati ya Engineer Hersi, na Feisal Salum, nani aondoke kwenye Klabu ya Yanga.?