Je Mashabiki wa Yanga, kati ya Engineer Hersi na Feisal nani aondoke?

Je Mashabiki wa Yanga, kati ya Engineer Hersi na Feisal nani aondoke?

Kwahiyo kwa kauli yako hii ndio itanifanya nimjue huyo Feisal?
Kwani ulipokuwa unachangia mada kuhusu Baba yake Messi na Mama yake Feisal, kwenye Uzi mwingine, alikuwa Feisal yupi? Au umeamua tuchoshane tu kwenye hili?
 
Kama Yanga mpaka sasa inasema inaendelea vizuri bila Feisal na Ina pata mafanikio bila huyo mchezaji. Kwanini isimuache huyo mchezaji aende kama alivyoomba?. Istoshe hajawadai chochote Bali amelipa kiasi walichomgaia hapo awali na kupatana. Asa Yanga haitapata hasara yoyote kwa maana mpaka sasa licha ya kutokuwepo huyo mchezaji uwanjani Bado Yanga Iko mbele kimaendeleo. Wanamng'ang'ania wa Nini?. Kwanini engineer asikubali tu kuvunja huo mkataba ili kuepusha Shari ikiwa mtu mwenyewe Hana faida kwao wala kwenye timu?. Je, ni nani hapo anang'ang'ania mwenzie, kati ya club na mchezaji!!!!???.
Unajua lolote kuhusu Pacta sunda servanda?
 
Kwani ulipokuwa unachangia mada kuhusu Baba yake Messi na Mama yake Feisal, kwenye Uzi mwingine, alikuwa Feisal yupi? Au umeamua tuchoshane tu kwenye hili?
Kwani wewe hapa unamzungumzia Feisal yupi?
 
Kwani wewe hapa unamzungumzia Feisal yupi?
Jibu kwanza acha kuruka, umesema hujui Feisal, nikakuuliza yule ambaye ulikuwa unachangia mada kuhusu Baba yake Messi na Mama yake Feisal kwenye Uzi mwingine alikuwa Feisal yupi?
 
Aondoke asiye na umuhimu, je ni yupi asiye na umuhimu?

Timu imecheza michezo ya kombe la Azam federation cup pasipo huyo mtu kuwepo
Timu imecheza kombe la shirikisho imetinga fainali pasipo huyo mtu kuwepo
Timu imebeba kombe la NBC pasipo huyo mtu kuwepo

Hivyo asiyekuwepo wakati timu inafanya vizuri na kupata mafanikio, huyo hana umuhimu atupishe tu.
Ndo anachotakaa awapishee, ila nyie hamtaki sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama Yanga mpaka sasa inasema inaendelea vizuri bila Feisal na Ina pata mafanikio bila huyo mchezaji. Kwanini isimuache huyo mchezaji aende kama alivyoomba?. Istoshe hajawadai chochote Bali amelipa kiasi walichomgaia hapo awali na kupatana. Asa Yanga haitapata hasara yoyote kwa maana mpaka sasa licha ya kutokuwepo huyo mchezaji uwanjani Bado Yanga Iko mbele kimaendeleo. Wanamng'ang'ania wa Nini?. Kwanini engineer asikubali tu kuvunja huo mkataba ili kuepusha Shari ikiwa mtu mwenyewe Hana faida kwao wala kwenye timu?. Je, ni nani hapo anang'ang'ania mwenzie, kati ya club na mchezaji!!!!???.
Umenisaidiia kile ambacho huwa natakaga kuandika, Yanga kwann wanambania Fei kuondokaaaa??
 
Hili sakata la Feisal linaweza kuwa lina tip vitu vinavyoogopesha kidogo. Kwanza kuna vitu Feisal hajafunguka na kilio cha wakili kinabeba ujumbe maana yule si wakili mwepesi.

Lakini naanza kupata picha hata dogo aliyebadili dini kwa umri wake inawezekana kuna influence ambayo siku moja tunaweza kuja kuifahamu.

Pamoja na mdhamini kuibadili Yanga na kuleta mabadiliko makubwa ila inawezekana kuna ideology behind the scenes ambazo huku nje ni ngumu kuzijua na Feisal amekataa kuzifata.
 
Hili sakata la Feisal linaweza kuwa lina tip vitu vinavyoogopesha kidogo. Kwanza kuna vitu Feisal hajafunguka na kilio cha wakili kinabeba ujumbe maana yule si wakili mwepesi.

Lakini naanza kupata picha hata dogo aliyebadili dini kwa umri wake inawezekana kuna influence ambayo siku moja tunaweza kuja kuifahamu.

Pamoja na mdhamini kuibadili Yanga na kuleta mabadiliko makubwa ila inawezekana kuna ideology behind the scenes ambazo huku nje ni ngumu kuzijua na Feisal amekataa kuzifata.
Bora hata wee umelionaa hilo, na hili linafanyika kwa wachezaji wazawa tyuuh.
 
Aondoke Hersi. Manji yupo ataikodisha tena Klabu yetu ya yanga huku Fei toto akikiwasha.
 
Kama Yanga mpaka sasa inasema inaendelea vizuri bila Feisal na Ina pata mafanikio bila huyo mchezaji. Kwanini isimuache huyo mchezaji aende kama alivyoomba?. Istoshe hajawadai chochote Bali amelipa kiasi walichomgaia hapo awali na kupatana. Asa Yanga haitapata hasara yoyote kwa maana mpaka sasa licha ya kutokuwepo huyo mchezaji uwanjani Bado Yanga Iko mbele kimaendeleo. Wanamng'ang'ania wa Nini?. Kwanini engineer asikubali tu kuvunja huo mkataba ili kuepusha Shari ikiwa mtu mwenyewe Hana faida kwao wala kwenye timu?. Je, ni nani hapo anang'ang'ania mwenzie, kati ya club na mchezaji!!!!???.
Ni roho mbaya za waswahili. Furaha kwao ni kumuona akitaabika.
 
Nimezidi kumdharau Fei Toto. Sio tu hajasoma kama anavyosema, Bali hata za kuzaliwa haziko. Anafaa kuitwa FEI JINGA.

Yanga shikilieni hapo hapo Hadi anye.
 
Jibu kwanza acha kuruka, umesema hujui Feisal, nikakuuliza yule ambaye ulikuwa unachangia mada kuhusu Baba yake Messi na Mama yake Feisal kwenye Uzi mwingine alikuwa Feisal yupi?
Wewe mambo ya uzi mwingine yanakuhusu nini? mimi nakuuliza wewe kwenye huu uzi wako,

Wewe ndio unaruka ruka kama mtu aliyekanyaga kaa la moto.
 
Back
Top Bottom