Suti hata kama kuna jua kali yaani utakuta mtu anasweat balaa...kavaa suti anatembea na daladala.
Sijui nani kawaambia kuwa kuokoka ni kuvaa suti hata kama sehemu/hali ya hewa hairuhusu.
umechanganyikiwa ww! fat'ha gan hyo km hujui historian ya din ya watuHata haya mavazi si ya dini ya ki "Islam" yalikuwepo kabla ya hiyo dini haijafika,ni mavazi ya utamaduni wa ki Arab,dini iliyaadapt tu baadae,
Sasa mliyoipokea hiyo dini,mnafikiri u Arab ni uislam,sio kweli,wajameni,
Nimefatilia historia ya vazi lile linalofunika mwili wa mwanamke kuanzia macho,kichwa,mpaka miguu,BURQA,
Hili vazi,kwa maeneo,ya jangwani,ambako vile vile ndio Arabs wengi wanapatikana,ni sehemu isiyo na miti,au vichaka,na ina mchanga mwingi,unaotimka mara kwa mara,na wenyeji waliweka makazi yao,karibu na chanzo cha maji,sasa vazi hili,linamsaidia mwanamke kwanza akitaka kujisitiri anaenda tu pembeni,anafanya yake,bila kujidhihirisha maungo yake,na pale usoni,kitambaa mile,kina msaidia kukinga macho take,na vumbi Kali,linalopeperuka,
Hebu fikiria,watu wanaoishi,Eskimo,Graceland,au sehemu yoyote yenye baridi,mpaka joto ushuka mpaka nyuzi 0,unafikiri kwa ubunifu wao,wangebuni vazi kama kanzu na baragashia,kwa ajiri ya kuvaa kwenye shughuri zao?
Hawa watu ni shida kwa kweli..haaaaaaaaaaaaaa my riobs !alafu makoti ya suti yameweka mikunjooo !haaaaaaaaaaaaaaa kiatu kina vumbiiiiiiiiiiii
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mtakuwa mnasali wotehaha bora haijaitag aisee
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mtakuwa mnasali wote
[emoji1] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] upo vizuri sana.....yes yapo mkuu !shati za kung'aaa !zle mterezo,rangi mara nyingi blue !na mashati ya vitenge pamoja na suruali pana sana mita6 !suruali ukivaa inakuwa kama sketi !na marinda yawe yamesimama wanaita (upanga) !suti nazo hizi hiz za mitumban!ikichafua fua tu mwenyewe achana na mambo ya kupeleka kwa wadobi !fua mwenyew ikileta ile mikunjo kunjo kwa koti swadaktaaaaaa !na kiatu fur angle blak au brown !
karibu sana
Long time mamayes yapo mkuu !shati za kung'aaa !zle mterezo,rangi mara nyingi blue !na mashati ya vitenge pamoja na suruali pana sana mita6 !suruali ukivaa inakuwa kama sketi !na marinda yawe yamesimama wanaita (upanga) !suti nazo hizi hiz za mitumban!ikichafua fua tu mwenyewe achana na mambo ya kupeleka kwa wadobi !fua mwenyew ikileta ile mikunjo kunjo kwa koti swadaktaaaaaa !na kiatu fur angle blak au brown !
karibu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yes yapo mkuu !shati za kung'aaa !zle mterezo,rangi mara nyingi blue !na mashati ya vitenge pamoja na suruali pana sana mita6 !suruali ukivaa inakuwa kama sketi !na marinda yawe yamesimama wanaita (upanga) !suti nazo hizi hiz za mitumban!ikichafua fua tu mwenyewe achana na mambo ya kupeleka kwa wadobi !fua mwenyew ikileta ile mikunjo kunjo kwa koti swadaktaaaaaa !na kiatu fur angle blak au brown !
karibu sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]anazo pia mwanajamii forum mwenztu@slim5
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]yes yapo mkuu !shati za kung'aaa !zle mterezo,rangi mara nyingi blue !na mashati ya vitenge pamoja na suruali pana sana mita6 !suruali ukivaa inakuwa kama sketi !na marinda yawe yamesimama wanaita (upanga) !suti nazo hizi hiz za mitumban!ikichafua fua tu mwenyewe achana na mambo ya kupeleka kwa wadobi !fua mwenyew ikileta ile mikunjo kunjo kwa koti swadaktaaaaaa !na kiatu fur angle blak au brown !
karibu sana
rafiki heri ya msimu wa sikukuu !upo![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kitu unakuta koti limepauka kwenye mabega balaahaaaaaaaaaaaaaa my riobs !alafu makoti ya suti yameweka mikunjooo !haaaaaaaaaaaaaaa kiatu kina vumbiiiiiiiiiiii
Hahaha dah!suruali pana mita 6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yes yapo mkuu !shati za kung'aaa !zle mterezo,rangi mara nyingi blue !na mashati ya vitenge pamoja na suruali pana sana mita6 !suruali ukivaa inakuwa kama sketi !na marinda yawe yamesimama wanaita (upanga) !suti nazo hizi hiz za mitumban!ikichafua fua tu mwenyewe achana na mambo ya kupeleka kwa wadobi !fua mwenyew ikileta ile mikunjo kunjo kwa koti swadaktaaaaaa !na kiatu fur angle blak au brown !
karibu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee surali upana mita 6? Hyo ni suruali au dela, hata dela sio hvyo
Nipo rafiki yangu.....tumepotezana mama...... nikawa najiuliza umepata kazi ya kumpepelea baby wako....rafiki heri ya msimu wa sikukuu !upo!
I miss you sana mama.....am happy to find you here......rafiki heri ya msimu wa sikukuu !upo!
Hahaha af akichomekea shati lake pana linapwaya pwaya wanaita puto[emoji23]hahha we bas huwajui !akisimama utahis kavaa sketi