Je, Mashati ya vitenge na ya kung'aa ya rangi moja ndio mavazi maalumu ya Wanaume walokole?

Je, Mashati ya vitenge na ya kung'aa ya rangi moja ndio mavazi maalumu ya Wanaume walokole?

Hahaha dah!suruali pana mita 6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ahha kuna miaka huko nyuma mzee MBITIYAZA aliamuaga kuokoKa jaman !bas ukiumwa kichwa tu anawaita hao walokole wanakuja kukuombea nyumban !jaman nilikua mdogo lakini nilikua nacheka jaman mie !dah !wamechoooka wana vumbi maskini ya Mungu !nywele zina vumbiiiiiiiiiiiii !trauza kuuuubwaaa !yaan unaombewa wewe unacheka kisiri siri tu !dah !i miss those moments jaman !alafu wanakuja wameshakauka sauti kooni bas unaona had huruma anavyoomba
 
Lakini ni mavazi mazuri tu sema ni kwa vile yanakuwa oversize. Mara nyingi ukitembelea maeneo kama mbozi, tukuyu,mwakareli na chunya utakutana nao sana
hahahhha there u r!na iringa usisahau !dah raha mno
 
Suti hata kama kuna jua kali yaani utakuta mtu anasweat balaa...kavaa suti anatembea na daladala.
Sijui nani kawaambia kuwa kuokoka ni kuvaa suti hata kama sehemu/hali ya hewa hairuhusu.
Sijawahi kuona wamevaa jeans
 
Mkatoliki usipokuwa na Suti ndani, wewe utakuwa ni msindikizaji katika Dini...
 
Sio wanaume walokile, nibwanaume wanaodai wameokoka japo hatuna uhakika kama kweli.
 
Back
Top Bottom