Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ni mavazi mazuri tu sema ni kwa vile yanakuwa oversize. Mara nyingi ukitembelea maeneo kama mbozi, tukuyu,mwakareli na chunya utakutana nao sanaahhaha anahubiri hapo mwenge daily
ahha kuna miaka huko nyuma mzee MBITIYAZA aliamuaga kuokoKa jaman !bas ukiumwa kichwa tu anawaita hao walokole wanakuja kukuombea nyumban !jaman nilikua mdogo lakini nilikua nacheka jaman mie !dah !wamechoooka wana vumbi maskini ya Mungu !nywele zina vumbiiiiiiiiiiiii !trauza kuuuubwaaa !yaan unaombewa wewe unacheka kisiri siri tu !dah !i miss those moments jaman !alafu wanakuja wameshakauka sauti kooni bas unaona had huruma anavyoombaHahaha dah!suruali pana mita 6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahhha there u r!na iringa usisahau !dah raha mnoLakini ni mavazi mazuri tu sema ni kwa vile yanakuwa oversize. Mara nyingi ukitembelea maeneo kama mbozi, tukuyu,mwakareli na chunya utakutana nao sana
my pleasureI miss you sana mama.....am happy to find you here......
Sijawahi kuona wamevaa jeansSuti hata kama kuna jua kali yaani utakuta mtu anasweat balaa...kavaa suti anatembea na daladala.
Sijui nani kawaambia kuwa kuokoka ni kuvaa suti hata kama sehemu/hali ya hewa hairuhusu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] niliendaga njombe aisee ndio pamba zao kuu wanatupiga hizohahahhha there u r!na iringa usisahau !dah raha mno
Appreciatedmy pleasure
[emoji23] [emoji23] [emoji23] niliendaga njombe aisee ndio pamba zao kuu wanatupiga hizo
Wengine wapo njombe[emoji23][emoji23]usimkute kavaa jacket kuuubwa kuzuia baridhahahhha there u r!na iringa usisahau !dah raha mno
limechafuukaaa !lina matoppeeeeWengine wapo njombe[emoji23][emoji23]usimkute kavaa jacket kuuubwa kuzuia barid
Bila kusahau traki suti[emoji23][emoji23][emoji23]utakuta kavaa nyekundu akiwa mbali unamjua tu yuuuuuule[emoji23] [emoji23] [emoji23] niliendaga njombe aisee ndio pamba zao kuu wanatupiga hizo
Kuna mwingine alikuwa hawezi kuvua suti hata kama anafua[emoji23] [emoji23]Suti hata kama kuna jua kali yaani utakuta mtu anasweat balaa...kavaa suti anatembea na daladala.
Sijui nani kawaambia kuwa kuokoka ni kuvaa suti hata kama sehemu/hali ya hewa hairuhusu.
Bila kusahau traki suti[emoji23][emoji23][emoji23]utakuta kavaa nyekundu akiwa mbali unamjua tu yuuuuuule
Kuna mwingine alikuwa hawezi kuvua suti hata kama anafua[emoji23] [emoji23]
Hahahaha yaaaaalah!daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwingine alikuwa hawezi kuvua suti hata kama anafua[emoji23] [emoji23]
Mentality ya kibongo hiyo. Suti imeanzia kwa wazungu.Well, A gentleman has no weather. Hata ungewasha oven, tai haitoki wala suti ya 3 pcs haimuumizi