casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,361
- 2,166
hahaa siku izi hazipo izo wanapiga modo kama kawa na mabishoo kama akina uyu mwimbaji goodluck,masanja wakina bon mwaitege ni zilipendwa/old skul. mambo yanabadilika sana mabinti hawavai sketi za marinda tena.Wee surali upana mita 6? Hyo ni suruali au dela, hata dela sio hvyo