casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,361
- 2,166
hahaa siku izi hazipo izo wanapiga modo kama kawa na mabishoo kama akina uyu mwimbaji goodluck,masanja wakina bon mwaitege ni zilipendwa/old skul. mambo yanabadilika sana mabinti hawavai sketi za marinda tena.Wee surali upana mita 6? Hyo ni suruali au dela, hata dela sio hvyo
Jeans ni dhambi!Sijawahi kuona wamevaa jeans
Maelekezo ya roho mtakatifuKuna mwingine alikuwa hawezi kuvua suti hata kama anafua[emoji23] [emoji23]
Mentality ya kibongo hiyo. Suti imeanzia kwa wazungu.
Kuna ukweli ndani yake.Hivi kuna mavazi maalum ya kuwatambua watu waliokoka hasa wanaume?
Mashati kama ya vitenge au ya rangi moja kama pink, blue etc. Maana naposkia fulani kaokoka mara nyingi nikimcheki kapiga shati la kitenge au shati fulani la rangi moja lakini la kung'aa
Hapo unatupia na shati rangi ya zambarau......saaafiiii....yes yapo mkuu !shati za kung'aaa !zle mterezo,rangi mara nyingi blue !na mashati ya vitenge pamoja na suruali pana sana mita6 !suruali ukivaa inakuwa kama sketi !na marinda yawe yamesimama wanaita (upanga) !suti nazo hizi hiz za mitumban!ikichafua fua tu mwenyewe achana na mambo ya kupeleka kwa wadobi !fua mwenyew ikileta ile mikunjo kunjo kwa koti swadaktaaaaaa !na kiatu fur angle blak au brown !
karibu sana
hahahaa mbavu zanguHapo unatupia na shati rangi ya zambarau......saaafiiii....
hhahaha na kweli satini huwa mwakeHa ha ha.mbona nyi mnajitoa wakati mnavaaga masantini magauni marefu
nimejikuta nacheka tu jaman !hhaahah !Mi.kwa.navojua waliookoka wengi wanasauti ya zege(mkwaruzo) si wadada si wakaka kutokana na kuamsha majeshi mda wote
Tatizo wanavaa kilughalugha sana!Ndo maana tumemwambia hakuna vazi la dini hiyo. Ukivaa vizuri kosa, ukivaa hovyo kosa mwataka nini??