Isije kuwa wewe ndiye badluck, unakuja kupima upepo hapa, tofautisha mafunzo na mateso ya kipangiliwa. Mafunzo yanataratibu zakeAdamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo. Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema. Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Umewahi kucheza karate ama ngumi ? kwakifupi lazima uwe na nafasi ya kupiganaAdamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo. Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema. Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Adamoo alipitia haya na akafauluIsije kuwa wewe ndiye badluck, unakuja kupima upepo hapa, tofautisha mafunzo na mateso ya kipangiliwa. Mafunzo yanataratibu zake
.
Huna akili nzuri. Haya mambo ni kuwahiana . Mateso yenye nia ovu ya pt hayawezi kulinganishwa na mafunzo ya jw.Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo. Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema. Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Kubinywa korodani sio mchezo waweza sema hata usio ulizwa.Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo. Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema. Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Special Forces Selection is the toughest testing platform in the Military – a twelve-month process that 85 percent of candidates fail. It’s designed to break you.Huna akili nzuri. Haya mambo ni kuwahiana . Mateso yenye nia ovu ya pt hayawezi kulinganishwa na mafunzo ya jw.
Unamchukuwa mtu unamfunga kwanza , ndiyo unamuanzishia mateso !!. Halafu useme ametepeta ?!
Mkuu, ulitaka wagome kivipi wakati wako chini ya ulinzi halali na wa kisheria? Hata ex president anaweza kukamatwa na kufanywa chochote. Kumbuka hata Mkapa akiwa rais aliitwa na alienda mahakamani kutoa ushahidi.Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo. Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema. Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Kwa asili ya ubinadamu vipo viwango vinavyowezekana kuhimili.Adamoo alipitia haya na akafaulu
Special Forces Selection is the toughest testing platform in the Military – a twelve-month process that 85 percent of candidates fail. It’s designed to break you.
There are only three options on selection: You quit, you get injured, or you outlast. The human body is built for survival and will adapt to better handle cold, heat, stress, pain and just about anything you can throw at it.
Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.
Halafu pia hakuna shujaa wa njaa( adui yako muombee njaa) umewekewa mtutu wa bastola kichwani,mkononi una pingu halafu unatiishiwa kutotezwa kama linjenje halafu na wewe unafamilia unayoipenda. Maumivu ya kwenye training huwezi kulinganisha na maumivu ya kwenye touture sababu kwenye training una option ya ku break kwa ajili ya kupumzika kunywa maji and the like.Isije kuwa wewe ndiye badluck, unakuja kupima upepo hapa, tofautisha mafunzo na mateso ya kipangiliwa. Mafunzo yanataratibu zake
.
Idiot!Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo. Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema. Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Ulitaka wapimane ubavu halafu uje hapa useme hawakuwa na nidhamu ya kijeshi !!Special Forces Selection is the toughest testing platform in the Military – a twelve-month process that 85 percent of candidates fail. It’s designed to break you.
There are only three options on selection: You quit, you get injured, or you outlast. The human body is built for survival and will adapt to better handle cold, heat, stress, pain and just about anything you can throw at it.
Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.
Mkuu; Tena watesaji ni zaidi ya mmoja (3-4 )na bado watesaji ni waoga kwamba wasijekujulikana, hivyo wanavaa vinyago ili wasijulikane kwa scene moja wakati mteswaji ni mmoja amedhibitiwa kisawasawa (restrained) kwa pingu, kamba na kufungwa kitambaa machoni. Watesaji wanatumia vifaa na sio miili (Viungo) yao. eg. Bisibisi, nyundo, maji baridi,rungu, umeme etc na ni katika chumba maalum. Hao makomandoo walimudu hayo mateso/walidhihirisha ushupavu wa kuvumilia mateso. Hatujui mm na ww baadaye wata-react vp au kutoa majibu gani kwa watesi wao. Time will tell.Huna akili nzuri. Haya mambo ni kuwahiana . Mateso yenye nia ovu ya pt hayawezi kulinganishwa na mafunzo ya jw.
Unamchukuwa mtu unamfunga kwanza , ndiyo unamuanzishia mateso !!. Halafu useme ametepeta ?!
Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.
Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.
Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Mafunzo siyo Mateso , halafu ulichokuwa hujui ni hiki , hawa walitakiwa kuuawa siyo kuteswa , ni bahati mbaya tu kwamba hawakufaAdamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.
Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.
Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Mateso yana vary lakin hakuna mahali wame state mateso fulani ndio yatumike na mengine yasitumike. Vyombo husika vina green light kutumia kila amount ya mateso makali kuliko ili wakufanye uongee. Haijalishi una mafunzo ama lah.Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.
Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.
Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Tofautisha mafunzo na mateso Pimbi weweAdamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.
Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.
Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Still bado hautokuwa invisible to pain. Haijalish umepitia mafunzo kiasi gani. Bado kila binadam ana breaking point, either uongee ama ufe. So kisa ukomandoo haimaniishi polisi wana mateso mepesi.Adamoo alipitia haya na akafaulu
Special Forces Selection is the toughest testing platform in the Military – a twelve-month process that 85 percent of candidates fail. It’s designed to break you.
There are only three options on selection: You quit, you get injured, or you outlast. The human body is built for survival and will adapt to better handle cold, heat, stress, pain and just about anything you can throw at it.
Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.