Je, mateso ya Polisi yanaweza kuwa makubwa (excessive) kuliko mafunzo ya Makomando wa Jeshi letu?

Je, mateso ya Polisi yanaweza kuwa makubwa (excessive) kuliko mafunzo ya Makomando wa Jeshi letu?

Tunashuhudia mara kadhaa polisi wanavyochezea kipigo kwa hawa vijana wadogo na wapya kabisa kutoka Jw. Kuna siku pale Tazara askari polisi kama wanne walikuwa pale wengine wanaongoza magari wengine walikaa kwenye kibanda chao sasa wakawa wanaruhusu magari upande mmoja kwa muda mrefu kumbe upade wa buguruni palikuwa na gari la jw aise walishuka askari watatu wakaenda hadi tazara walitembeza kipigo kikali then askari wa jw wakawa wanaita magari wao lilipofika gari lao wakadandia hao mwendo.
Huku nilipo hao wenzio wanapigwa na polisi hadi kuvunjwa miguu.Kisa mnaleteana ubabe mtaani kwamba yupi mbabe.Mna mambo ya kitoto mapot.
 
Huku nilipo hao wenzio wanapigwa na polisi hadi kuvunjwa miguu.Kisa mnaleteana ubabe mtaani kwamba yupi mbabe.Mna mambo ya kitoto mapot.
Wapi huko wamevunjwa miguu? Tuwe wakweli polisi level yao ni migambo na ndo maana mara nyingi unakuta vituo vya polisi migambo wamejazana kusaidiana kukamata vibaka.
 
Huku nilipo hao wenzio wanapigwa na polisi hadi kuvunjwa miguu.Kisa mnaleteana ubabe mtaani kwamba yupi mbabe.Mna mambo ya kitoto mapot.
Mwanajeshi akiwa kazini huwa anakamatwa na military polisi na sio hawa polisi mgambo.
 
Hayo mafunzo bila kuwa na siraha ni mbwembwe tu. Huyo commando bila siraha hata mimi nisie na mfunzo yoyote nikiwa na siraha namkamata kama kuku. Kingine aliyekwambia polisi wanawaogopa wanajeshi ni nani au story zenu za vijiweni baada ya kushiba ugali na maharage?
 
Wapi huko wamevunjwa miguu? Tuwe wakweli polisi level yao ni migambo na ndo maana mara nyingi unakuta vituo vya polisi migambo wamejazana kusaidiana kukamata vibaka.
Ww hata structure ya police huijui. Kwa taarifa yako kimafunzo tu mgambo hawafikii police. Kimfumo police wana nguvu kubwa kisheria..
Police huwa wanaomba migambo kwa usaidizi tu.
 
Back
Top Bottom