Je, mateso ya Polisi yanaweza kuwa makubwa (excessive) kuliko mafunzo ya Makomando wa Jeshi letu?

Je, mateso ya Polisi yanaweza kuwa makubwa (excessive) kuliko mafunzo ya Makomando wa Jeshi letu?

Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.

Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.

Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?

Ni kweli kuwa mafunzo ya ukomando sio mchezo ndio maana wapo mahakamani wangekuwa wa kawaida,kama wewe, wangekuwa hospitali ,mochuari au wameshazikwa kwa mateso.
Pili uelewe kuwa uchunguzi wa police sio vita na hawakustahili kuteswa wakati wa kuhojiwa/kuchunguzwa.
 
Una reasoning ya kitoto kabisa.
Hayo mafunzo wanayatumia vitan, wakiwa kwenye kazi zao. Ww naona ume copy ujumbe huko google about special forces, lakin huelewi true nature ya operation zao.

Kwanza unatakiwa uelewe ukomando ni cozi tu. Lakini imekuwa structured katika mtaala maalumu kumjengea uwezo askari ku acquire skills maalum za kutumia kwenye medani za kivita. Narudia tena ni kozi yenye mtaala maalumu.

Mateso yana mtaala? Yana structured training? Yana programmed steps? Nope

Hawa jamaa walishatumikia hii unit. Lakin wakawa discharged kurudi uraiani. They were no longer in the army. So hawana priviledges za jeshi tena.

Unadai walaini? Unajua kilichowatoa jeshini kwanza?
Unadai walaini? Umesha shirik cozi yoyote ya ukomando before ?
Kwanini tunafanya mafunzo?
 
Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.

Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.

Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Huwezi kupima ubora wangu kwa kumuwahi na kumfunga, kisha uanze kumtesa.
 
Mkuu nyuzi zako zimeongozana sana....

Inaonekana huenda wewe ni miongoni mwa wale Police waliowatesa watuhumiwa
 
Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.

Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.

Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
HaO wanataka huruma ya mahakama wamelishwa maneno ya kujitetea lakini ukweli walishauaema wote
 
Mkuu nyuzi zako zimeongozana sana....

Inaonekana huenda wewe ni miongoni mwa wale Police waliowatesa watuhumiwa
Mkuu- nimepata mda wa kutafakari sana kuhusu jambo hili ambalo si jema sana kwa nchi yetu: limetugawa na kutuchafua yote hayo kukidhi tamaa za watu ambao hawana nia njema na watu
 
Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.

Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.

Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Mateso nayo yanadegree zake kila binadamu ana point akifika lazima alegee.....hapo itategemea na uhimili wako ww mleta uzi kofi moja tu unasema kila kitu akati wengine mpaka mbupu Ibanwe nk
 
Komando hatakiwi kutoa siri kama kuawawa auwawe tu ndiyo wanavyofundishwa achana na hao watumia madawa ya kulevya! Kwa hiyo ingekuwa wako vitani wanaweza kuiuza kombania nzima kwa adui!!?
Pale ni mahakamani sio vitani. Kwahiyo unataka kusema kwamba wanatakiwa kuficha kwamba hawakuteswa ili waonekane ni makomandoo sio?

Poor you...kumbuka polisi wenyewe walikuwa zaidi ya watatu kwa mtu mmoja tena kwa kumfunga pingu,kitambaa na mengineyo ili mradi tu asije akajinasua akawaua wote within a minute.

Polisi wanawaogopa mno wanajeshi wa kawaida tu sembuse makomandoo?
 
Komando hatakiwi kutoa siri kama kuawawa auwawe tu ndiyo wanavyofundishwa achana na hao watumia madawa ya kulevya! Kwa hiyo ingekuwa wako vitani wanaweza kuiuza kombania nzima kwa adui!!?
Tunashuhudia mara kadhaa polisi wanavyochezea kipigo kwa hawa vijana wadogo na wapya kabisa kutoka Jw. Kuna siku pale Tazara askari polisi kama wanne walikuwa pale wengine wanaongoza magari wengine walikaa kwenye kibanda chao sasa wakawa wanaruhusu magari upande mmoja kwa muda mrefu kumbe upade wa buguruni palikuwa na gari la jw aise walishuka askari watatu wakaenda hadi tazara walitembeza kipigo kikali then askari wa jw wakawa wanaita magari wao lilipofika gari lao wakadandia hao mwendo.
 
Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.

sasa walipata mafunzo wakayatumie wapi? Hayo yanayosemekana ni mateso ya polisi ndiyo mazingira muafaka kwa kukabili kutokana na mafunzo yao.
Sasa Mbowe alikuwa anawatafuta wa nini kama ni walaini kiasi hicho. LAZIMA KULIKUWA NA KITU NA KITU HICHO SI KINGINE ISIPOKUWA NJAMA ZA UGAIDI
Haya mateso wanayasema wakiwa uwanja wa vita kwa adui ama mahakamani sehemu ya haki? Mahakamani lazima useme kila kitu kiwe wazi ili hukumu ya haki itoke. Unaonekana upo mbali mno na legal issues.
 
Wewe paka rekebisha kauli yako,hakuna polisi anayewagwaya askari jeshi.Watu mna uduni wa akili hebu waulize wanajeshi wenyewe watakwambia jinsi wanavyokamatwa na polisi huku kitaani au kama vipi kaa karibu na kituo kikubwa cha polisi uone maafande wa jeshi(manyota) wanavyokuja kituoni kuwatoa wanajeshi wenzao waliolala lock up za polisi.
Polisi watatu hadi wanne wanaenda kumkamata kuruta mmoja wa jeshi.
 
Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.

Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.

Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Akili zako ni kiduuuchu IQ below 20
 
Back
Top Bottom