Je, mawaziri Jaffo na Aweso wataendelea na mikwara ile ile ya kutumbua na kufokea watendaji hadi wanazimia?

Je, mawaziri Jaffo na Aweso wataendelea na mikwara ile ile ya kutumbua na kufokea watendaji hadi wanazimia?

Mzee alitoa room sana kwa vijana na alitu inspire sana hakuwa mtu wa connection wala classes hapo ndio alishika mioyo ya watu ndio mana unaona kuna Prominent Figures Kibao tu wame groom kipindi ichi cha The Late JPM watu kama Kabudi au Mpango au Ndalichako wanakili bila JPM hizo nafasi wasingefika, Magu ana mapungufu yake kama binadamu ila he was the best kwa kweli yeye akiona tu una potential basi hasiti kukupa room regardless financial au Influence yako tofauti na enzi za Mkwere ambapo kila ulaji ulikuwa ni Connection na influence, Nina washikaji zangu ambao hawakuwa na connection yoyote ile ila katika utawala huu wamepenya kwenye super institutions za Nchi kama Hazina, BOT, Ikulu,Ofisi ya CAG Kwa keli Mzee tutamkumbuka ukiachilia ilo je ni vijana wangapi wamekuwa employed na mifumo ambayo ameanzisha yeye kama Ajira utumishi, Eeh baba nenda ila still utabaki kwenye mioyo yetu Milele
Shida kubwa mzee alishindwa kuwashape vijana kwamba ukiwa kiongozi unapswa uweje.Mawaziri walikuwa Kama wahuni tu wa mtaani Kama kina aweso na mwigulu wanalopoka tu lolote
 
Shida kubwa mzee alishindwa kuwashape vijana kwamba ukiwa kiongozi unapswa uweje.Mawaziri walikuwa Kama wahuni tu wa mtaani Kama kina aweso na mwigulu wanalopoka tu lolote
Hapo nakubaliana na wewe kwa Kiasi, Ninacho msifu alitoa room sana huyu mzee based on perfomance shida ya Vijana sasa tukipewa madaraka ni shida zamani kulikuwa na training nguroduto kule Arusha mtu akishakuwa Appointed anaenda kupikwa kule ni sahihi tumeshuhudia vijana wajaa viburi kama Makonda, Sabaya, Kheri James na Jokate
 
Mzee alitoa room sana kwa vijana na alitu inspire sana hakuwa mtu wa connection wala classes hapo ndio alishika mioyo ya watu ndio mana unaona kuna Prominent Figures Kibao tu wame groom kipindi ichi cha The Late JPM watu kama Kabudi au Mpango au Ndalichako wanakili bila JPM hizo nafasi wasingefika, Magu ana mapungufu yake kama binadamu ila he was the best kwa kweli yeye akiona tu una potential basi hasiti kukupa room regardless financial au Influence yako tofauti na enzi za Mkwere ambapo kila ulaji ulikuwa ni Connection na influence, Nina washikaji zangu ambao hawakuwa na connection yoyote ile ila katika utawala huu wamepenya kwenye super institutions za Nchi kama Hazina, BOT, Ikulu,Ofisi ya CAG Kwa keli Mzee tutamkumbuka ukiachilia ilo je ni vijana wangapi wamekuwa employed na mifumo ambayo ameanzisha yeye kama Ajira utumishi, Eeh baba nenda ila still utabaki kwenye mioyo yetu Milele
Sio kwamba kujipendekeza ndio connection yenyewe
 
Hapana, lazima wafuate maagizo na matakwa ya Rais aliyepo madarakani...
 
Binafsi huwa sioni utendaji kazi wa jaffo zaidi ya kuzurura tu na kusifia,uhamisho wa watumishi tu umemshinda.Yule mwingine aweso ni mtu wa jazba mno.Kiufupi wote hawafai.
 
CCM inarudi kwa wenyewe Gweregwere na inzile imekula kwao ,sasa ni muda wa mafikizolo.


"Mafikizolo" - CCM asilia -Wazawa eg Mangula,Makamba,Kinana
"Inzile" - Wakuja - eg Bashiru,Polepole,Musiba
"Gweregwere" -Wahamiaji -Wakimbizi eg Mollel ,Waitara,Kafulila,Katambi
Inzile ni hatari sana. Shughuli yao ni kama siafu wamewakong'ota Mafikizolo mpaka basi.
 
Back
Top Bottom