johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mtama
Angalau Dr. Gwajima anajitahidi kwenye uwaziri, hata kule jamuhuri ya X anapongezwa sana tofauti na mawaziri wenzake.Ni wakati wa kuwaambia ukweli Wabunge wetu kama bado tunahitaji huduma yao 2025 - 2030 au wakatafute Ajira nyingine.
Tumia Uzi huu kutuma salamu kwa Mbunge wako iwe za kumtakia kheri au kumpa angalizo. Sisi Iringa mjini na Kawe tunatarajia kupata Wabunge wapya.
Mungu ni Mwema wakati Wote π
Soma Pia:
Wabunge waliobebwa kwa mbeleko mwaka 2020 hali ni tete, Arusha mjini na Mbeya mjini kimeumana
Mahudhurio Bungeni, Wabunge wengine wapo wapi mbona hata majimboni hawaonekani?
Kawe ni Askofu Dr GwajimaAngalau Dr. Gwajima anajitahidi kwenye uwaziri, hata kule jamuhuri ya X anapongezwa sana tofauti na mawaziri wenzake.
Sijajua upande wa ubunge huko kwenu bwashee lakini ameitendea wizara haki na labda inaweza kumbeba kwenye ubunge.
Sio Doroth Gwajima! Ni Gwajima mkono wa baunsaπAngalau Dr. Gwajima anajitahidi kwenye uwaziri, hata kule jamuhuri ya X anapongezwa sana tofauti na mawaziri wenzake.
Sijajua upande wa ubunge huko kwenu bwashee lakini ameitendea wizara haki na labda inaweza kumbeba kwenye ubunge.
Kawe ni Askofu Dr Gwajima
Kumbe jamaa nae ni Dr siku hizi?Sio Doroth Gwajima! Ni Gwajima mkono wa baunsaπ
Kitambo πKumbe jamaa nae ni Dr siku hizi?
Angalau Dr. Gwajima anajitahidi kwenye uwaziri, hata kule jamuhuri ya X anapongezwa sana tofauti na mawaziri wenzake.
Sijajua upande wa ubunge huko kwenu bwashee lakini ameitendea wizara haki na labda inaweza kumbeba kwenye ubunge.
Kashindwa Ubunge ataweza Urais?J. Gwajima ni Ajaye 202V ,HATOGOMBEA ubunge.
Mbunge anakusanya Kodi?Kashindwa Ubunge ataweza Urais?
Kwani Sheria za Kodi anatunga nani?Mbunge anakusanya Kodi?
Hivi hai wanamkubali maana mwanzo mpaka ccm wenzake walimkimbiaShaashisha wa Hai, anasubiri kuapishwa tu![emoji23][emoji23][emoji23]