johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni wakati wa kuwaambia ukweli Wabunge wetu kama bado tunahitaji huduma yao 2025 - 2030 au wakatafute Ajira nyingine.
Tumia Uzi huu kutuma salamu kwa Mbunge wako iwe za kumtakia kheri au kumpa angalizo. Sisi Iringa mjini na Kawe tunatarajia kupata Wabunge wapya.
Mungu ni Mwema wakati Wote 😄
Soma Pia:
Wabunge waliobebwa kwa mbeleko mwaka 2020 hali ni tete, Arusha mjini na Mbeya mjini kimeumana
Mahudhurio Bungeni, Wabunge wengine wapo wapi mbona hata majimboni hawaonekani?
Tumia Uzi huu kutuma salamu kwa Mbunge wako iwe za kumtakia kheri au kumpa angalizo. Sisi Iringa mjini na Kawe tunatarajia kupata Wabunge wapya.
Mungu ni Mwema wakati Wote 😄
Soma Pia:
Wabunge waliobebwa kwa mbeleko mwaka 2020 hali ni tete, Arusha mjini na Mbeya mjini kimeumana
Mahudhurio Bungeni, Wabunge wengine wapo wapi mbona hata majimboni hawaonekani?