Je, Meli ya Mizigo ya Urusi imetua Tanga? Je, haitaleta mtikisiko wa kidiplomasia?

Je, Meli ya Mizigo ya Urusi imetua Tanga? Je, haitaleta mtikisiko wa kidiplomasia?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

IMG-20230228-WA0000.jpg
 
Urusi inaelekea kuwa maskini japo sio kama nchi za Afrika ila kuwapo kwa meli sio ishu maana dunia inataka bahari nyeusi ifunguke nafaka zisambaze.

USSR
Nipo worried as raia maana hatuna vikwazo lakini serikali imetuwekea vikwazo vya kkuchumi wanancho wake.

Sasa haya mambo ndo yakanipa hofu kuwa the worse have not yet come
 
Hatufungamani na upande wowote.

Ishu ya hyo aliyekufa kwani serikali ndo ilimpeleka kama asingekufa akapata malipo wewe ungejua...Hizo ni tamaa zake wala serikali haihusiki moja kwa moja
 
Hatufungamani na upande wowote.

Ishu ya hyo aliyekufa kwani serikali ndo ilimpeleka kama asingekufa akapata malipo wewe ungejua...Hizo ni tamaa zake wala serikali haihusiki moja kwa moja
Roho za kikatili ndani ya JF,aliyekufa ni binadamu sio panzi mkuu au sio ndugu yako?
 
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

View attachment 2532246
 
Back
Top Bottom