Je, Meli ya Mizigo ya Urusi imetua Tanga? Je, haitaleta mtikisiko wa kidiplomasia?

Je, Meli ya Mizigo ya Urusi imetua Tanga? Je, haitaleta mtikisiko wa kidiplomasia?

Relax mkuu mtoa mada,Tanzania ya sasa ni tofauti kubwa sana na Ile ya foreign minister's akina Mr.Malecela, Mr.Salim A.Salim, vipindi vyao hawa Africa ilikuwa inasimama kusubiria Dar es Salaam itatoa tamko gani, Leo hata Rwanda inatusumbua
 
Roho za kikatili ndani ya JF,aliyekufa ni binadamu sio panzi mkuu au sio ndugu yako?
Sina roho hyo nimekuambia ukweli kabisa sidhani Kama jamaa alilazimishwa kujiunga ...kama unabisha fuatilia na nchi zetu zipo nyuma sana kufuatilia maslahi ya raia mmoja mmoja tena wakiwa abroad ..

Izo dosho angepata kwa kupigania Russia serikali unafikiria ingepata?
 
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

View attachment 2532246
Tusubiri.
 
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

View attachment 2532246
Sio Hilo tu,,ona na hili.
Screenshot_20230221-101022.jpg
 
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

View attachment 2532246
Implication inatoka wapi kwani nyie sini sovereign and democratic state. Wasiwasi wanini tena? 😀 😀 😀
 
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

View attachment 2532246
Mmetewa chakula na mbolea mnaanza Woga. chuma ya mwanangu Put IN imeleta msaada sio biashara
 
Tanzania haifungamani iko Huru tena Huru kweli kweli
Maccm mlimfundisha Mugabe Jeuri na kiburi matokeo yake leo hii Zimbabwe inategemea ifadhiliwe na nchi masikini kama Belarus! Ndo maana kuna Mtu kasema viongozi wa Serikali za Kijamaa huwa hawajali vikwazo bali wanajali Matumbo Yao.
 
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

View attachment 2532246
Kama haijaleta silaha kwenda kuchafua usalama wa DRC, sio tatizo kubwa kwani hata huko Ulaya na Marekani bado kuna makampuni ambayo bado yako Urusi.
 
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

View attachment 2532246
Hiyo meli imembeba au kainunua mama Samia? Maana ninaiona picha yake kwenye meli.
 
Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.

Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.

Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?

Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?

View attachment 2532246
Vikwazo vimewekwa na umoja wa Mataifa au Ulaya na Marekani? Some time tumia akili kuwaza
 
Back
Top Bottom