Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina roho hyo nimekuambia ukweli kabisa sidhani Kama jamaa alilazimishwa kujiunga ...kama unabisha fuatilia na nchi zetu zipo nyuma sana kufuatilia maslahi ya raia mmoja mmoja tena wakiwa abroad ..Roho za kikatili ndani ya JF,aliyekufa ni binadamu sio panzi mkuu au sio ndugu yako?
AmeenSina roho hyo nimekuambia ukweli kabisa sidhani Kama jamaa alilazimishwa kujiunga ...kama unabisha fuatilia na nchi zetu zipo nyuma sana kufuatilia maslahi ya raia mmoja mmoja tena wakiwa abroad ..
Izo dosho angepata kwa kupigania Russia serikali unafikiria ingepata?
Tusubiri.Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.
Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.
Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?
Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?
View attachment 2532246
Sio Hilo tu,,ona na hili.Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.
Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.
Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?
Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?
View attachment 2532246
Nchi kuwa maskini ni ukosefu wa akili wa viongozi. Urusi haina viongozi wapumbavu kama taifa flani la watu wa michongoUrusi haiwezi kuwa masikini piga uwa walahi nakwambia
Implication inatoka wapi kwani nyie sini sovereign and democratic state. Wasiwasi wanini tena? 😀 😀 😀Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.
Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.
Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?
Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?
View attachment 2532246
Bado anamawazo kuwa dunia ni USA, NATO na UN.Kwahiyo we ulitaka tuungane na mashoga ili kukwepa vikwazo?
Mmetewa chakula na mbolea mnaanza Woga. chuma ya mwanangu Put IN imeleta msaada sio biasharaUkimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.
Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.
Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?
Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?
View attachment 2532246
Yaani watu kusaidiwa bado wanakuwa waogaImplication inatoka wapi kwani nyie sini sovereign and democratic state. Wasiwasi wanini tena? 😀 😀 😀
Kwa akili za huyo mwehu anaweza akamtoa mkewe sadaka kwa majambazi aliwe ili yeye akwepe kipigo tu.Bado anamawazo kuwa dunia ni USA, NATO na UN.
Putin watamwelewa tu.
Maccm mlimfundisha Mugabe Jeuri na kiburi matokeo yake leo hii Zimbabwe inategemea ifadhiliwe na nchi masikini kama Belarus! Ndo maana kuna Mtu kasema viongozi wa Serikali za Kijamaa huwa hawajali vikwazo bali wanajali Matumbo Yao.Tanzania haifungamani iko Huru tena Huru kweli kweli
Kama haijaleta silaha kwenda kuchafua usalama wa DRC, sio tatizo kubwa kwani hata huko Ulaya na Marekani bado kuna makampuni ambayo bado yako Urusi.Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.
Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.
Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?
Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?
View attachment 2532246
Tutaiweza hii ligi tunayoitaka au Putin kashatupa mbinu maana hio vita ya kiuchumi usipokuwa dhabiti utakuja kuwa Zimbabwe itSio Hilo tu,,ona na hili.View attachment 2532492
Hiyo meli imembeba au kainunua mama Samia? Maana ninaiona picha yake kwenye meli.Ukimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.
Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.
Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?
Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?
View attachment 2532246
Huru ndani ya kifungo cha umasikini mtypu?Tanzania haifungamani iko Huru tena Huru kweli kweli
Vikwazo vimewekwa na umoja wa Mataifa au Ulaya na Marekani? Some time tumia akili kuwazaUkimya wa Serikali kuhusu raia wake alkyeuawa vitani Ukraine akiwa anapigana upande wa Urusi umezua minong'ono kwenye korido za kidiplomasia za kimataifa.
Kinachosubiriwa na pande kuu za mgogoro wa Ukraine ni tamko la serikali katika kulaani, kudai maelezo au kukemea Urusi.
Haya sasa tunavyoongea hapa, nimeona hii picha inasambaa huko.whatsapp. Je kuna ukweli kwamba imetia nanga bandari ya Tanga?
Kama ni kweli; je, hakuna implications zozote za kidiplomasia kwa nchi yetu? Hususan vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi?
View attachment 2532246