Tazama kidogo hapa tumpangie mtu matokeo
zaman new crdt kwa maks
civc-B-62 crdt 2 2
bios-C-54 crdt 3 3
histor-42 crdt 3 4
englis-45 crdt 3 4
geogra-50crdt 3 4
kiswahl B-64 crdt 2 2
math D- 24 crdt 4 6
chem C-45 crdt 3 4
physcs D-33 crdt 4 5
division division
2 points 19 3 Point 23
sasa hap nani kabebwa au nani kaonewa
xo msilaulu tu kabla hamjafikiria nyie watanzania jarbuni kuwa mnathink deeply
Ww utakuwa ni mmoja kati ya waliobebwa wanaume tulifight mpaka tumefika hapa,na kuwaonesha sisi kama hatukubebwa form six wa mwaka huu na form five ambao wanaingia form six wa sita tutafanya vizuri zaidi kuliko hawa wanaoingia mwaka huu form five coz wamebebwa
Hebu tujaribu kuelewa F ya xaxa hv ina point 7 lazima div 4 iwe na point za 40 huko
Mchanganuo wa kisasa ni kwa ajili ya kuwaliwaza wazazi na wanasiasa.
alama zilizokuwa
zikitumiwa awali na Baraza la Mitihani la
Taifa (Necta) katika kupanga matokeo
hayo, kwa kidato cha nne ni A=80-100,
B=65-79, C=50-64, D=35-49, F= 0-34 kwa
upande wa kidato cha sita A=80-100,
B=75-79, C=65-74, D=55-64, E=45-54,
S=40-44 na F= 0-39.
Alisema mfumo mpya, umehusisha alama
za kidato cha nne na cha sita na kuwa
kuanzia sasa A=75-100, B+=60-74,
B=50-59, C=40-49, D=30-39, E=20-29 na
F=0-19.
Kwa mtaji huu elimu yetu KWISNEI hata huo ufafanuzi uliotolewa hauna mantiki hata punje. Eti walikuwa wanaondoa mlundikano wa alama sasa kwa nini hata thamani ya B imeshuka sana ukilinganisha na miaka iliyopita. NECTA imegeuka uchochoro wa wanasiasa wamekubali kuiua elimu yetu kwa sababu ya njaa zao
Shanga eni kidogo huu mfumo mpya ni maumivu mwanadunzi ana point 36 ambayo ni foour na ana credit tatu na D nne ,zamani siange kuwa na three ya 25 huyo,haya ndo nn sasa?
hahahahahaha kwa aliyepita shule hatakataa hili.wanafunzi wengi wanaofaulu hupata alama "C" sijui kwa nini na most of them hupata 41-50 hapa ndio kuna kundi kubwa zaidi la wanafunzi kuliko kwenye alama zozote zile.zamani "C" ilianzia 41-60 na ilikuwa na point 3.leo "C" inanzia 41-50 na point ni 4 kumbuka hili ni kundi lenye wanafunzi wengi.hivyo ni wazi kabisa wanafunzi wamefinywa hapa.
kwa kusema aliyepata 1st div zamani angepata 2 ni uongo ili upate 1 ni lazima uwe na B+ japo nne na B plain tatu ili upate point 17.qualifications za anayepata B+(60-75) ambayo ni point 2 hazina tofauti na ambaye alipata B(61-80) zamani.
hii system ni mbaya kwa wanafunzi kuliko inavyosemwa na watu waliomezeshwa maneno bila ya kushirikisha vichwa vyao wenyewe.mtu aliyepata C(4 points) sasa angekuwa na C(3 points) hiyo hiyo zamani.
duuuh great thinkers do not think anymore
Shanga eni kidogo huu mfumo mpya ni maumivu mwanadunzi ana point 36 ambayo ni foour na ana credit tatu na D nne ,zamani siange kuwa na three ya 25 huyo,haya ndo nn sasa?
Ww utakuwa ni mmoja kati ya waliobebwa wanaume tulifight mpaka tumefika hapa,na kuwaonesha sisi kama hatukubebwa form six wa mwaka huu na form five ambao wanaingia form six wa sita tutafanya vizuri zaidi kuliko hawa wanaoingia mwaka huu form five coz wamebebwa