Mwa chando
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 359
- 122
alama zilizokuwa
zikitumiwa awali na Baraza la Mitihani la
Taifa (Necta) katika kupanga matokeo
hayo, kwa kidato cha nne ni A=80-100,
B=65-79, C=50-64, D=35-49, F= 0-34 kwa
upande wa kidato cha sita A=80-100,
B=75-79, C=65-74, D=55-64, E=45-54,
S=40-44 na F= 0-39.
Alisema mfumo mpya, umehusisha alama
za kidato cha nne na cha sita na kuwa
kuanzia sasa A=75-100, B+=60-74,
B=50-59, C=40-49, D=30-39, E=20-29 na
F=0-19.
Au panua mlango wapite wengivery simple, palipo na dv1 ni dv 2 palipo na2 weka 3, napalipo na 3weka dv 4,napalipo na dv4 weka0 au5.hivo ufauru ungekuwa 32% na walio fail 68%. hii inaitwa funika kombe mwanaharamu apite ,Mulugo hoooyeeeee!!!!!!!!
Kilichokuweka ktk alama hizo ni CA na wala usijipe kichwa umefaulu laiti kama wasingetumia CA ungejikuta kwenye IV ya 28Ni kwel mim ni mmoja wao na nna division two point 23 nnaswal dogo katka alama zang ni hizi lamama zang tazama
civc B
geo B
kisw B
englis B
Bios B +
chemi C
physc D
math D
hist D
Naomba unambie sasa kwa mfumo wa zaman ningekuwa na division ngap
kama sikosei ni two point 21 sasa nmebebwa au nmeonewa
Kilichokuweka ktk alama hizo ni CA na wala usijipe kichwa umefaulu laiti kama wasingetumia CA ungejikuta kwenye IV ya 28
Kilichokuweka ktk alama hizo ni CA na wala usijipe kichwa umefaulu laiti kama wasingetumia CA ungejikuta kwenye IV ya 28
tatizo madogo wanachekelea kupata vidision 2 n 1 hawaangalii soko lao la ajira litakuwa unatakiwa ufikilie mbali cokuchelea cheti kizuri angalia kitakufikisha wapi
kwahiyo izo CA alikuwa ananifanyia babayang alaf necta nkafanyamwenyew mpka useme zimenibeba???? Au shulen kwenu Academic wenu alikuwa anawajazia matokeo ya uongo so ata uwezo wako ukiwa ni wa D atakujazia A eeeeeh ili Nec Nec wakupitishe si ndiyo Ww usiwe kama hujawah kuingia shule ata dakka mbil maishan mwako au ulisoma GOVERMNT school ww maana nyie ndo hamuish kulalamika cz ni haki yenu Nenda kasome SWILLA MBEYA uonje moto wa makaa ya Mawe ndo utajua kama watu hawakulala ili wafauru mpumbav ww
Dogo ckiliza mimi matokeo yng ya 4m 4 ckutumia CA lkn nina one ya 16 nadhani kama wangetumia CA ungenikuta kwenye one point 9,xo kwng nakuona kama galasha
kwa hapa nilipo hata wacpotumia CA one lzm nipate sio ww naki two chako cha CA lkn bado kinachechemea angalia xana dogo
Dogo ckiliza mimi matokeo yng ya 4m 4 ckutumia CA lkn nina one ya 16 nadhani kama wangetumia CA ungenikuta kwenye one point 9,xo kwng nakuona kama galasha
kwa hapa nilipo hata wacpotumia CA one lzm nipate sio ww naki two chako cha CA lkn bado kinachechemea angalia xana dogo
.
Ulipanga ww matokeo hayo? Au unadhani CA Wameanza leo kuzitumia?
.
Afu wenzako si wako shule
we una mbwelambwela humu utagonga O 4m VI dogo au unasoma arts?
.
ww kwel mburura kwanza wenye 1 wenzio hawajisifii kama ww fara alaf ckuzote kizur hakisifiwi bal kinaanza kujisfia chenyew kwa mng'aro nina mashaka na iyo 1 yako utakuwa unatulisha matango poli tu myb ww ulipata 3 ya 25 enz yako unajiproud na kama ulipata kwel 1 dis yea 6 utapata four au zero kwan wangap walifauru vzue 4 six wakafel YAN WW NI KILAZA kama unasoma kombi ngumu myb HKL OR HGL ww cz SCIENCE hatuna watu wa dizain yako viraza
Unanichekesha xana mdogo wng,lkn nickuvunje moyo unaweza ukabebwa kwa.mara nyingine ukatoka,PCB cna neno.na.mtu
Nacheka sanaa cz inaonekana ww wakat unafanya NECT frm 4 Mbeleyako alikaa mtu anaejiweza akakupa bocha chabo cz huna uwezo ww hata wa kufikiria yan u thnk short sightd
Cna mda wa kubishana na wtt
Mwambie uyo kwanza muulize izo CA walifanya babazetu alaf necta tukafanya ssi ili tufauru na kama tulizifanya ss bas ni nguvu zetu wenyew den hata kama academic anakujazia maksi za huongo hawez kkuwekea A ya Basic Math Wakat uwezo wako ni F akikuhurumia myb akupe D kwa nyie mnaopewa CA za huongo
Sasa mbna unajib kama huna mda?????? Kasome Broo tuache ssi tusubir post shaur yako unakaa kupga kelele ka MDADA
Jamani mfumo wa zamani ungetumika, labda hata hili bunge maalumu la katiba lingeahirishwa kwanza, maana MAADA kwenye vyombo habari na mitaani ingekua ni hiyo ( kwa maana wanafunzi wengi wamefeli sana)
Lakini naomba kuuliza ili mtu aende A-Level anatakiwa awe amepata mwisho Div ipi na ya pointi ngapi?