Mwa chando
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 359
- 122
alama zilizokuwa
zikitumiwa awali na Baraza la Mitihani la
Taifa (Necta) katika kupanga matokeo
hayo, kwa kidato cha nne ni A=80-100,
B=65-79, C=50-64, D=35-49, F= 0-34 kwa
upande wa kidato cha sita A=80-100,
B=75-79, C=65-74, D=55-64, E=45-54,
S=40-44 na F= 0-39.
Alisema mfumo mpya, umehusisha alama
za kidato cha nne na cha sita na kuwa
kuanzia sasa A=75-100, B+=60-74,
B=50-59, C=40-49, D=30-39, E=20-29 na
F=0-19.
tatizo madogo wanachekelea kupata vidision 2 n 1 hawaangalii soko lao la ajira litakuwa unatakiwa ufikilie mbali cokuchelea cheti kizuri angalia kitakufikisha wapi