Je, mimi ndio mzembe au binti ndio kazingua?

Ilikuwa siku ya kukutegeshea mimba ukashtuka
 
Nimeamini wabongo tumeendekeza sana ngono ngono ngono yaani sio KE sio ME wote wananiponda kwa kutochakata mbususu. Daaah! Kazi ipo
 
h

hivi hizo quote mnazoeka baada ya text ndo inakuagaje

mfn hapo Bad geli goni gudi niekeje ije kama hvo😅😅😅😅😅😅😅 natumia browser kuaccess jf
Click your profile, kuna sehemu imeandikwa signature....hapo ndio unaandika
 
h

hivi hizo quote mnazoeka baada ya text ndo inakuagaje

mfn hapo Bad geli goni gudi niekeje ije kama hvo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] natumia browser kuaccess jf
View profile yako, then utaona sehemu ya signature, andika maneno utakayo then save
 
Mzee wa kupambania alafu huna lolote muda wa kula unakataa, chakula kikitolewa unalia njaa
 
Sasa unataka ushauriwe nini au umeuliza swali ?Kama ni swali jibu ni kwamba we ni mzembe ,yani mbususu unaikataa bila sababu ya msingi !! Duu unaujua utamu wa chakula cha usiku wewe ?
 
Pimbi wewe
 
Hapo umezingua shehe inavotakiwa ukipata opportunity yakula mbususu kwa Mara ya kwanza hata ikiwaje Wew piga tu hata Kama Ni kimoja, ilishawahi nitokea niliahidiana na dem fresh siku yenyew naumwa hatari zaidi Ila nilipiga hivo hivo
 
Wewe ndio boya, mademu huwa na nyege zaidi katika siku za heat. Hata awe mgumu vipi ukiamsha hisia zake siku ya heat lazma umle tu hata kama alikuwaga hakutaki.
 

Hili nalo mheshimiwa waziri naomba ukaliangalie
 
,mzabzab DeepPond huyu dogo nimwambie au niachane nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…