Je, mimi ndio mzembe au binti ndio kazingua?

Je, mimi ndio mzembe au binti ndio kazingua?

Hakuna kitu kibaya wanawake huwa wanajisikia kama kutomla mbususu akikuletea....Tena ikiwa imeshaloa tayari,huwa wanaumia sanaa.
 
Mkuu, hata mimi naweza kuiringia K tena nisijali wala. Sema nikishafanya hivyo sijipendekezi tena manake najua hapo huenda nikapigwa TKO.
 
Kuna pisi fulani ya kipare ilinikubali sana na mimi nilimwelewa. Tulishapiga sana romance, nimemtoa out mara kadhaa.

Siku moja usiku wa saa sita baada ya romance demu akataka game mimi nikakataa kwa sababu muda ulikuwa umeenda nikamwambia tugegedane siku nyingine. Alikubali ila kinyonge sana.

Baadaye alinilaumu ila mimi nikachukulia poa. Baada ya kulalamika siku moja nikamwambia niko tayari akakataa. Nilimtumia meseji hakujibu nilimpigia simu hapokei. Na kwa kuwa mimi huwa sipendi sana kubembeleza tumemwagana, hatuna mawasiliano ila tukikutana zimebaki salamu tu. Ila kikweli bado namtamani hata leo akisema ananipa game sikatai.

Inaniuma sana mpaka tunaachana sikuwahi kula mbususu yake.

Je, mimi ndiye mzembe au demu ndio kazingua? Ushauri wenu tafadhali
Kwahiyo we Jamaa ukaamua kucheZea shilingi kwenye tundu la choo siyo!😅😅
 
Kweli wanaume tumebaki wachache sana mwanaume unaleta mapozi kwenye mbususu. Nakushauri fanya mazoezi,kula vizuri,karanga kula,korosho kula,maziwa fresh kunywa,red wine kunywa,matunda pendelea kula kwa sana,muhogo mbichi,nazi kula na vingine vyenye kuleta afya.

Au wewe ni wale ambao hadi mjiandae na mkongo ndo mpige shoo acha huo upuuzi kuwa tayari kwa vita muda wowote.
 
Sijaona sababu ya kukataaa kumnyandua usiku ama ndo Hadi nguvu ya mkongo mkuu
 
Vijana vumbi la kongo litawaua, ukipewa game la kushitukiza una lala mbele.
 
Unaweza Kuta mleta mada na yeye ni pisi kali,
Siku ya tukio alikuwa anavuja
 
Kuna pisi fulani ya kipare ilinikubali sana na mimi nilimwelewa. Tulishapiga sana romance, nimemtoa out mara kadhaa.

Siku moja usiku wa saa sita baada ya romance demu akataka game mimi nikakataa kwa sababu muda ulikuwa umeenda nikamwambia tugegedane siku nyingine. Alikubali ila kinyonge sana.

Baadaye alinilaumu ila mimi nikachukulia poa. Baada ya kulalamika siku moja nikamwambia niko tayari akakataa. Nilimtumia meseji hakujibu nilimpigia simu hapokei. Na kwa kuwa mimi huwa sipendi sana kubembeleza tumemwagana, hatuna mawasiliano ila tukikutana zimebaki salamu tu. Ila kikweli bado namtamani hata leo akisema ananipa game sikatai.

Inaniuma sana mpaka tunaachana sikuwahi kula mbususu yake.

Je, mimi ndiye mzembe au demu ndio kazingua? Ushauri wenu tafadhali
Wewe ni faler
 
HV inawezekana kabisa kufanya romance halafu bila sababu msisex?????

Naomba msaada WA majibu wanaume.
Nadra sana jamaa kazingua nahisi pisi ilikuwa imesimama kisawasawa akapigwa na bumbuwazi ambalo lilipelekea kukata Moto nihisivyo hata wakati wa hyo romance jamaa akili yake ilikuwa inawaza kweli pisi kali Leo ipo on bed??? Akasahau jukumu namba moja la mwanaume awapo na duu
 
Tulikuwa tumetoka kula bata Juliana Pub Mbezi Beach after romance demu nyege zikampanda alitaka twende tukalale lodge hadi kesho asubuhi.

Pesa nilikuwa nayo ya lodge ila sasa nafsi ilisita kwa kuwa kesho ilikuwa Jumapili na nilikuwa nahitajika kanisani asubuhi sana kuna kazi tulipewa.

Kukumbuka hilo nafsi ikasita kwenda kugegedana. Lakini pia ningechelewa maana pisi ni ya maeneo ninakofanyia kazi Mbezi Beach na mimi naishi Mbezi ya Kimara
Daaah acha nikaushe
 
Tulikuwa tumetoka kula bata Juliana Pub Mbezi Beach after romance demu nyege zikampanda alitaka twende tukalale lodge hadi kesho asubuhi.

Pesa nilikuwa nayo ya lodge ila sasa nafsi ilisita kwa kuwa kesho ilikuwa Jumapili na nilikuwa nahitajika kanisani asubuhi sana kuna kazi tulipewa.

Kukumbuka hilo nafsi ikasita kwenda kugegedana. Lakini pia ningechelewa maana pisi ni ya maeneo ninakofanyia kazi Mbezi Beach na mimi naishi Mbezi ya Kimara
Hoja dhaifu sana hizo kiongozi heshima kwa mwanaume haiji kwa kumnunulia mwanamke pombe na misosi tu bali na kuonyesha ulichobarikiwa na mungu kwenye maungo yake.
 
Back
Top Bottom