Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃 Anasema hadi ajiandae kihisia 😂mleta mada kiufupi umetuaibisha wanaume huoni aibu kuja kusema uninga kama huo et umeikataa mbususu we zuzu sana
😂😂Mwambie akapigwe miti tu.
Wewe ungemfanyia anachotaka hata kwa muda mfupi lakini sio kumuambia eti muda hautoshi. Hata ningekua mimi nisingerudi sababu ningeingiwa na mawazo labda sikuvutii ndio sababu ukagoma. Endelea kupambana ikishindikana tafuta mwingine mana mapenzi hayalazimishwi .Alitaka tulale hadi asubuhi hapo ndo shida ilipoanzia
Mchane tuuu🤣🤣🤣🤣
Sawa mkuu ujumbe ntaufikishaMwambie akapigwe miti tu.
Dogo bn tatizo litakua kama lile lako lile..... Nashangaa sana anatakiwa awe kama vile we unavyofanya na ulivyomfanyia yule jiraniMchane tuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dogo jiangalie usije ukamwaga mbona hadharani hapaDogo bn tatizo litakua kama lile lako lile..... Nashangaa sana anatakiwa awe kama vile we unavyofanya na ulivyomfanyia yule jirani
Thank youView profile yako, then utaona sehemu ya signature, andika maneno utakayo then save
Thanks sizClick your profile, kuna sehemu imeandikwa signature....hapo ndio unaandika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo jiangalie usije ukamwaga mbona hadharani hapa
Kwa nini na yeye apige bila kinga? Utakua uzembe wake.Ilikuwa siku ya kukutegeshea mimba ukashtuka
Tunashangaa sababu ndio zenu wanaume wengi kama sio wote kutokataa K. Kuleta pozi kwa mbususu tena iliyojileta yenyewe lazima tu uonekane una tatizo mahala.Nimeamini wabongo tumeendekeza sana ngono ngono ngono yaani sio KE sio ME wote wananiponda kwa kutochakata mbususu. Daaah! Kazi ipo
[emoji23][emoji1787] Umeanza visingizio sasa baada ya kutolewa nje.Wengine hawalioni hilo. Hawa viumbe ni wa kuishi nao kwa akili sana. Wamekuja juu kumtetea mwenzao
Sasa unaumia nini? Nafasi ulipewa maringo mengi.
Hapo kutegemea NTU na NTU, na si kila NTU mwali.. 😂HV inawezekana kabisa kufanya romance halafu bila sababu msisex?????
Naomba msaada WA majibu wanaume.