Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke havutii vipi wakati amejinasibu kuwa ni pisi kali! Ok mfano hamvutii si angevuta hata taswira ya Beyonce akung'ute fuko atembee jamaa kazingua au kuna kitu kimejificha hakuna mbususu ikaachwa kizembe hivyo tena mida ya wangaWewe ungemfanyia anachotaka hata kwa muda mfupi lakini sio kumuambia eti muda hautoshi. Hata ningekua mimi nisingerudi sababu ningeingiwa na mawazo labda sikuvutii ndio sababu ukagoma. Endelea kupambana ikishindikana tafuta mwingine mana mapenzi hayalazimishwi .
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] huyo ni new specieWewe Mtanzania kweli??[emoji15][emoji15]
Sure [emoji2]Kuna wajuba wengine ni makauzu...yan anaweza kuingiza pisi gheto na mbunye asile..
Kmmk kazingua sana [emoji16][emoji119][emoji119]Man down..man down we need emergency air backup...kwa mm hapo nakuona mzembe sana kwan ww unaujua utamu wa mbunye kwel washka dau wanachakata mbususu ata makaburin we unaleta malingo endelea kufuga joka ivyoivyo
[emoji1787][emoji38][emoji1787]Eti muda umeenda khaaaa!
Huo muda ulioenda ni muda gani?
Wewe sio mzembe, sitaki kutumia jina linalokustahili ntapigwa ban
Jinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana sio maringo dada yangu nafsi yangu ilisita kuchakata mbususu siku hiyo
Haaa !!! Kmmk [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulikuwa tumetoka kula bata Juliana Pub Mbezi Beach after romance demu nyege zikampanda alitaka twende tukalale lodge hadi kesho asubuhi.
Pesa nilikuwa nayo ya lodge ila sasa nafsi ilisita kwa kuwa kesho ilikuwa Jumapili na nilikuwa nahitajika kanisani asubuhi sana kuna kazi tulipewa.
Kukumbuka hilo nafsi ikasita kwenda kugegedana. Lakini pia ningechelewa maana pisi ni ya maeneo ninakofanyia kazi Mbezi Beach na mimi naishi Mbezi ya Kimara
[emoji38][emoji38][emoji38]We ndo mwanaume wa kwanza nakuskia unakataa mbususu sababu mda umeenda
Mimi na mleta mada [emoji1787][emoji1787]Hata mimi nimeshangaa , ulimwenguni hapa watakua wamebaki wawili tu.
Wooooiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji419]Nampa vizuri labda niwe mgonjwa.
KISA cha kumuacha mwenzio na nyege????Umenukumbusha nilisafir na dada mmoja very humble tukafkia sehemu moja,room zinakaribiana
Kula tukaenda kula wote tukarudi kulala tukaagana kila moja anaingia chumban kwako sijamtongoza wala kumuonyeshea hisia za mapenzi
Kabla sjabana kitasa alusukuma mlango kwa nguvu na kunikumbatia lkn nilismama kiume sikuonyesha udhaifu ila haikuwa rahisi akarudi kwake
Asubuhi namuamsha hayupo nikaambiwa alihama hotel usiku huo,tumekutana meeting point hataki hata kuitikia salamu
😂😂 Aah wapiMimi na mleta mada [emoji1787][emoji1787]
Nakwambia tena [emoji16][emoji419][emoji23][emoji23] Aah wapi
Basi hufai kabisa 😂Nakwambia tena [emoji16][emoji419]