Je, mimi ndio mzembe au binti ndio kazingua?

Alitaka tulale hadi asubuhi hapo ndo shida ilipoanzia
Wewe ungemfanyia anachotaka hata kwa muda mfupi lakini sio kumuambia eti muda hautoshi. Hata ningekua mimi nisingerudi sababu ningeingiwa na mawazo labda sikuvutii ndio sababu ukagoma. Endelea kupambana ikishindikana tafuta mwingine mana mapenzi hayalazimishwi .
 
Mchane tuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dogo bn tatizo litakua kama lile lako lile..... Nashangaa sana anatakiwa awe kama vile we unavyofanya na ulivyomfanyia yule jirani
 
Inatakiwa tukufungulie kesi ya uhujumu uchumi ya mbususu ya kipare shenzy type
 
Nimeamini wabongo tumeendekeza sana ngono ngono ngono yaani sio KE sio ME wote wananiponda kwa kutochakata mbususu. Daaah! Kazi ipo
Tunashangaa sababu ndio zenu wanaume wengi kama sio wote kutokataa K. Kuleta pozi kwa mbususu tena iliyojileta yenyewe lazima tu uonekane una tatizo mahala.
 
Kweli kira siku zinavyo zidi kwenda ndio kasi ya Kupungua kwa WANAUME inaongezeka mtoto wa kiume anakataa Kut#$ba [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…