Osama gani huyo aliyeuliwa na Marekani halafu hata maiti haikuoneshwa na mwili wake eti ukageuzwa majivu na kutupwa Atlantic.Allahu akbar alimtelekeza Osama bin laden kule Abottabad Pakistan....akauwawa kizembe
Aaaaaiiiseeee πππ kumbe yale yalikuwa maigizo tu? Kweli Obama fundi. Kwa hiyo ule mgogoro wa kidplamasia kati ya Marekani na Pakistan baada ya ile operation yalikuwa maigizo? Kwa hiyo ile kamata kamata kule Pakistan mpaka ya Daktari aliyetumika kusaidia ilikuwa maigizo?Osama gani huyo aliyeuliwa na Marekani halafu hata maiti haikuoneshwa na mwili wake eti ukageuzwa majivu na kutupwa Atlantic.
Marekani hawawezekani kwa uongo na kutunga hadithi za vita.Osama alifariki miaka mingi nyuma na hata kaburi lake waliolijua ni wenzake Talibana basi.
Hizi ngonjera tunazisikia kila mwakaKabisaaa misri inaongozwa na hao hao wazayuni kwa Misri wala hakuna jipya mzee hakuna
Ila israhell ataua sana atafanya sana unyama ila mwaka huu ama mgogoro huu ndio unaenda kuipa Palestine uhuru wake hakuna namna Palestine kupitia huu mgogoro wasiwe huru
Allah yupo nasi katika hali yeyote ile iwayo wakati wa raha shida huzni nkNiliwaambia mpo wenyewe, alla akbar wenu keshakula kona na kukimbia, hakuna wa kuwaokoa, mtaechezea kichapo kote kote, mumejaibu kuomba Mchina, Mrusi lakini hamna lolote, mataifa yote ya kiarabu yameufyata, hata kubwa la magaidi ya uislamu, Iran halina jipya limeufyata.
Mungu wa Wayahudi ni mkubwa kuzidi wenu huyo aliyekimbia mpambano.
Mwaka huu hakuna ngonjera mpaka muteme bungo enyi wazayuni wauaji wa kina mama na watotoHizi ngonjera tunazisikia kila mwaka
Magaidi yatanyooshwa tu hata kama mtayaonea huruma yaaniMafarisayo mna tabu sanaπ, upuuzi mlete nyie halafu mkinyooshwa mnalialia
#resteasyJoshua
Bado hujajionea ila muda sio mwingi utajioneaKumbe kadhia ya tarehe 7/10/23 imeleta matunda kwa Wapalestina kama wote tunavyojionea .
Maigizo kama ya kwenda mwezini.Aaaaaiiiseeee πππ kumbe yale yalikuwa maigizo tu? Kweli Obama fundi. Kwa hiyo ule mgogoro wa kidplamasia kati ya Marekani na Pakistan baada ya ile operation yalikuwa maigizo? Kwa hiyo ile kamata kamata kule Pakistan mpaka ya Daktari aliyetumika kusaidia ilikuwa maigizo?
Leta ushahidi wa kuuwawa kwa osama kama unaoEti gaidi Osama alijifia siku nyingi sasa kama ni hivyo mbona alipouliwa ilipatikana na maiti ya kijana wake na mkewe moja naye mbona alijeruhiwa kwa risasi.?
Watu mkiambiwa imani yenu inachochea ugaidi mnajidai kupinga sasa ona mnavyomtetea gaidi Osama bin Laden, ni kweli kwamba sio kila muislamu ni gaidi lakini ili uwe gaidi ni lazima uwe muumini wa dini hiyo. Hamna jinsi.
Halafu walikuwa watumwa waoHakuna namna Misri inaweza kwenda kinyume na Israel...... bwana wao ni mmoja
Allah yupo nasi katika hali yeyote ile iwayo wakati wa raha shida huzni nk
Kuna haja ya kukisoma qisa cha israa na miiraji upate kujua mambo
Lazima upate ukakasi sababu unajua huu mwaka lazma wazayuni watatema bungoAmeshawakimbia, hana ubavu dhdi ya Mungu wa Wayahudi, mnauawa kama senene hadi nimejikuta naanza kupata ukakasi dhidi ya Israel.
Kwa hiyo unataka kutuambia Osama yuko mitaani anadunda wakati anaburudika na mabikra 72 akhera.πππLeta ushahidi wa kuuwawa kwa osama kama unao
Ugaidi wenu una wafanya msione mambo yaani muna macho lakini hamuoni
Leta ushahidi acha kurukaruka kama ushapata baraka au tayari niniπKwa hiyo unataka kutuambia Osama yuko mitaani anadunda wakati anaburudika na mabikra 72 akhera.πππ
Kukosa kwako uwezo ndio maana Netanyahu ana nguvu.Ningekua na uwezo ningeua vitoto vyote vya netanyahu na yeye aonje joto la kupotelewa na familia
Huyo ni Mungu Jehova yeye utendaji kazi wake ni tofauti kabisa na yule mungu wenu anayepiganiwa na wanadamu (allah).Haohao makafiri si ndio waliomponda Yesu msalabani mpaka akafa, baada ya kumuua Yesu si waliendeleza tena kipondo kwa wale mitume wa Yesu.
kwa hio Mungu alichagua upande wa makafiri?
Hakuna ushahidi zaidi wa uliokwisha tolewa au unafikiri anaweza kufa mara mbili.Leta ushahidi acha kurukaruka kama ushapata baraka au tayari niniπ
Ushahidi ulotolewa uko wapi ndio maana nikakwambia uleteHakuna ushahidi zaidi wa uliokwisha tolewa au unafikiri anaweza kufa mara mbili.