Je mitandao ya kijamii imehongwa na mmiliki wa ndege iliyopata ajali?

Je mitandao ya kijamii imehongwa na mmiliki wa ndege iliyopata ajali?

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Sijaona kokote mmliki wa ndege iliyopata ajali akisemwa na kutakiwa kuwajibika- ANA MIFUKO MIKUBWA KIASI GANI MPAKA KAHONGA KILA MTU KILA MAHALI
 
Sijaona kokote mmliki wa ndege iliyopata ajali akisemwa na kutakiwa kuwajibika- ANA MIFUKO MIKUBWA KIASI GANI MPAKA KAHONGA KILA MTU KILA MAHALI
Nchi ya wapumbavu, utawasikia Magufuli alituziba midomo,wakati walitukana tani zao zote
 
Nchi ya wapumbavu,utawasikia Magufuli alituziba midomo,wakati walitukana tani zao zote
Mkuu nimeona na ninashangaa sikutegemea tunauwezo mdogo wa kuchambua mambo kiasi hiki. Hili lilianza nyuma kidogo na ni aibu
 
Ndege sio sawa na daladala wewe ndio maana hata walioitengeneza wameingia kwenye uchunguzi. Kama ni ubovu wa ndege basi na serikali (Mamlaka ya usalama wa Anga) itawajibika ilikuwaje ndege mbovu iliruhusiwa kuruka. Mmiliki wa ndege usimfananishe na Mmiliki wa Balaji au school bus
 
Ndege sio sawa na daladala wewe ndio maana hata walioitengeneza wameingia kwenye uchunguzi. Kama ni ubovu wa ndege basi na serikali (Mamlaka ya usalama wa Anga) itawajibika ilikuwaje ndege mbovu iliruhusiwa kuruka. Mmiliki wa ndege usimfananishe na Mmiliki wa Balaji au school bus
Mkuu ni sawa, kila muhusika atawajibika kujibu- sasa sisi great thinker na key board warrior tumekwama wapi? mbona tumeshindwa kuwanza kama wale wazee waliopanga mambo haya 1948
 
Ile ndege ni mali ya shirika binafsi, kama ni kuwajibishana wana taratibu zao za ndani wakiona umuhimu wa kufanya hivyo watafanya, ingawa serikali kwa upande wao naona wameona hakuna haja hiyo na kuiruhusu kampuni kuendelea na safari zake.

Muhimu ni wahanga wa ajali walipwe fidia, na kulingana na taarifa zinazoenea mitandaoni kwa sasa, taratibu zinafanyika wapewe haki zao.
 
Ile ndege ni mali ya shirika binafsi, kama ni kuwajibishana wana taratibu zao za ndani wakiona umuhimu wa kufanya hivyo watafanya, ingawa serikali kwa upande wao naona wameona hakuna haja hiyo na kuiruhusu kampuni kuendelea na safari zake.

Muhimu ni wahanga wa ajali walipwe fidia, na kulingana na taarifa zinazoenea mitandaoni kwa sasa, taratibu zinafanyika wapewe haki zao.
Unaseamake mkuu- ebu ongeza MWANGA.
Kama kinga ni fidia sasa kelele ni za nini. Na mkuu kwenye fidia mwenye ndege analipwa zaidi kulko akiyekufa au kuumia.
Tatizo sio ajali.. ajali inaweza kutokea hata ndege Mpya tu inatoka kiwandani kwenda test inaweza kupata ajali.. issue ni emergency team ya airport ilikua wapi..
Kwani haikuwepo?
 
Mkuu Precision Air ni kampuni iliyosajiliwa kwenye daftari la makampuni na kupata kutambulika kama anavyotambulika mtu binafsi. Kampuni ikikosa kutimiza masharti yaliomo kwenye usajili wake hushitakikiwa kisheria bila kumhusisha mmiliki wake kama haendeshi kampuni. Kwenye ajali hii watakaopata msukosuko sana ni wale wanaoeindesha hiyo kampuni. Mmiliki unamshambilia kwa lipi?
 
Mkuu nimeona na ninashangaa sikutegemea tunauwezo mdogo wa kuchambua mambo kiasi hiki. Hili lilianza nyuma kidogo na ni aibu
Nyie mataahira wa CCM ndiyo mna uwezo mdogo wa kuchambua mambo ya maana,mnachoweza ni kumuabudu yule dhalim aliyeko jehanam.
 
Mkuu Precision Air ni kampuni iliyosajiliwa kwenye daftari la makampuni na kupata kutambulika kama anavyotambulika mtu binafsi. Kampuni ikikosa kutimiza masharti yaliomo kwenye usajili wake hushitakikiwa kisheria bila kumhusisha mmiliki wake kama haendeshi kampuni. Kwenye ajali hii watakaopata msukosuko sana ni wale wanaoeindesha hiyo kampuni. Mmiliki unamshambilia kwa lipi?
Mkuu, mmiliki ni muhusika mhimu sana kwenye hili
soma hii

na kama sisi humu tumshindwa kumgusa- sisi sote ni wajinga wa kutupwa na ni aibu namna tunavyofikiri na kuchambua mambo. siku zote ninasema sina mashaka na uwezo wetu wa kufikiri ila nina mashaka makubwa na namna tunavyofikiri. Aidha badala ya kufikiri tuna waza.
 
Nyie mataahira wa CCM ndiyo mna uwezo mdogo wa kuchambua mambo ya maana,mnachoweza ni kumuabudu yule dhalim aliyeko jehanam.
Ni sawa heri yetu sisi kuliko nyinyi mnaompongeza Mbowe kuwa mwenyekiti mwenza wa watetea ushoga Afrika
 
Kamishna wa Bima amesema ndege ya Precision Air iliyopata ajali ilikuwa na bima na kwamba fidia kwa shirika ni zaidi ya dola za Kimarekani milioni 50 (TZS bilioni 116), na waathirika fidia ni zaidi ya dola za Kimarekani milioni 170 (TZS bilioni 396).
 
Back
Top Bottom