Je mitandao ya kijamii imehongwa na mmiliki wa ndege iliyopata ajali?

Je mitandao ya kijamii imehongwa na mmiliki wa ndege iliyopata ajali?

Mkuu, mmiliki ni muhusika mhimu sana kwenye hili
soma hii

na kama sisi humu tumshindwa kumgusa- sisi sote ni wajinga wa kutupwa na ni aibu namna tunavyofikiri na kuchambua mambo. siku zote ninasema sina mashaka na uwezo wetu wa kufikiri ila nina mashaka makubwa na namna tunavyofikiri. Aidha badala ya kufikiri tuna waza.
Mkuu, mimi ni mmiliki wa kampuni ya Precision Air kwa kiwango cha hisa nilizonunua kwenye kampuni hiyo. Ajali imetokea na imeuwa watu na chombo cha usafiri kimeharibika vibaya, sasa kunisema mimi nisiyehusika kwenye uendeshaji kunakusaidia nini?. Narudia kama mmiliki ndiye mwendeshaji wa shughuli zote za kampuni atawajibika kwenye kitengo chake,na sio umiliki wake.
 
Hajasemwa Kwa sababu Ndege ilitua Salama Ili walikosa Emergency response yenye Vifaa vya uokoaji. Yaani kama Pilot alitoa taarifa za kutua Kwa dharura Msaada ungeandaliwa Fasta.
Sijaona kokote mmliki wa ndege iliyopata ajali akisemwa na kutakiwa kuwajibika- ANA MIFUKO MIKUBWA KIASI GANI MPAKA KAHONGA KILA MTU KILA MAHALI
 
Hajasemwa Kwa sababu Ndege ilitua Salama Ili walikosa Emergency response yenye Vifaa vya uokoaji. Yaani kama Pilot alitoa taarifa za kutua Kwa dharura Msaada ungeandaliwa Fasta.
Basi tulipaswa kumsema kwa uzuri na umahiri wa wajiriwa wake.
 
Sijaona kokote mmliki wa ndege iliyopata ajali akisemwa na kutakiwa kuwajibika- ANA MIFUKO MIKUBWA KIASI GANI MPAKA KAHONGA KILA MTU KILA MAHALI

Kampuni haina kosa , Kama ndege ingekuwa mbovu isingezunguka mji wa Bukoba kwa nusu saa , ikisubiri signal ya kushuka. Wenye hatia ni kwenye uwanja wa ndege waliokuja na speaker na microphone ziwani na kudai wanamawasiliano na marubani hivyo waachwe wasiokolewe.
 
Sijaona kokote mmliki wa ndege iliyopata ajali akisemwa na kutakiwa kuwajibika- ANA MIFUKO MIKUBWA KIASI GANI MPAKA KAHONGA KILA MTU KILA MAHALI
Matunda ya zile Sheria za mwendokasi a.k.a zao la miswada ya dharura🏃🏃
 
Basi tulipaswa kumsema kwa uzuri na umahiri wa wajiriwa wake.

Kisheria kampuni ni legal person na inatambulika kwa jina lake na inawajibika kivyake labda tu maofisa wawe wanahusika na uvunjifu wa sheria ndipo nao huunganishwa kwenye kesi.
 
Sijaona kokote mmliki wa ndege iliyopata ajali akisemwa na kutakiwa kuwajibika- ANA MIFUKO MIKUBWA KIASI GANI MPAKA KAHONGA KILA MTU KILA MAHALI
Hahahaha
Tanzania raha sana.

Hebu weka hoja yako hapa tujue sababu za yeye kuwajibika
 
Tatizo sio ajali.. ajali inaweza kutokea hata ndege Mpya tu inatoka kiwandani kwenda test inaweza kupata ajali.. issue ni emergency team ya airport ilikua wapi..
Ndio maana mimi nikasema kwa hili serikali inapaswa kuwajibika ikiwemo na kuwalipa fidia wahanga. Wasitake kutudanganya kuleta visingizio vya uwongo kuhusu shirika na kuwachafua.
 
Back
Top Bottom