Je, Mkurugenzi wa manispaa kufuturisha wenyeviti wa serikali za mitaa ni sahihi?

Je, Mkurugenzi wa manispaa kufuturisha wenyeviti wa serikali za mitaa ni sahihi?

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Kuna taarifa kuwa siku ya kesho mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni anaenda kufuturisha wenyeviti wa serikali za mitaa yote ya Kinindoni zaidi ya 150.

Nauliza haya ndio matumizi sahihi ya kodi zetu?

Je, akitokea mwingine akaamua kipaimara cha mtoto wake alishe wajumbe wote kwa hela za umma itakuwaje?

Au ndio urefu wa kamba wenyewe huu?
 
Ww aliyekwambia anatumia hela ya serikali nani au umbea tu unakusumbua huyo mkurugenzi hana hela ya kufutulisha? Wangetangaza manispaa ya kinondoni inafutulisha hapo sawa ujue kutofautisha maisha binafsi ya mtu na ya kazini
 
download.jpeg
download.jpeg


Anaitwa Anifa MD Kinondoni
 
Ww aliyekwambia anatumia hela ya serikali nani au umbea tu unakusumbua huyo mkurugenzi hana hela ya kufutulisha? Wangetangaza manispaa ya kinondoni inafutulisha hapo sawa ujue kutofautisha maisha binafsi ya mtu na ya kazini
Mkurugenzi ni mtumishi wa umma kwanini aite wanasiasa?
Kwanini asifanye kwa watumishi wa Kinondoni?
 
Umejuaje kwa hela ya serikali? Tangu ramadhan imenza ni mwendo wa kutushambulia waisilamu,,,Alafu sikia hii nchi ina waisilamu wengi more than Christians, pagani n.k. Muwe wapole tu.
Unaota wewe lete ushahidi hapa.
 
Back
Top Bottom