simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Okay.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay.
I know because she has used a public title to entertain public figures otherwise she could have used her names to invite them!How do you know that?
And how can you tell if she's using or spending public funds?
Sasa si atumie jina lake badala ya cheo chake! Mungu anampima yeye na siyo cheo wala ofisi yake!Ukiishi kwa chuki maisha haya utakufa mapema.
Mkurugenzi kufuturisha mbona jambo dogo sana? Makampuni yote kwenye manispaa yanachukuwa tender kwake unadhani anaweza kushindwa kufadhiliwa futari ya millioni 4 au 5?
Kwani anataka ajulikane au anatoa sadaka ili apate thawabu kwa Mungu?Angetumia jina lake hawezi kujulikana kama ni mkurugenzi eee
Huwa nashindwa kuelewa nikionaga mtoto wa kiume anamlilia wivu mtoto wa kike, ni aibu kubwa.Sasa si atumie jina lake badala ya cheo chake! Mungu anampima yeye na siyo cheo wala ofisi yake!
Bado anatumia eneo la Manispaa kwanini hajakodi ukumbiJe Kama anatumia hela yake
Una miaka mingapi ya kuzaliwa? Ufisadi ni pamoja na kutumia cheo chako vibaya!Huwa nashindwa kuelewa nikionaga mtoto wa kiume anamlilia wivu mtoto wa kike, ni aibu kubwa.
Wanawake kwenye uongozi hawana kashfa za ufisadi, do ur home work.
Katika hilo tungempongeza kama angejumuisha watumishi wengine wa halmashauri na siyo hao wanasiasa pekee!Wacha wivu usiokuwa na msingi. Ukiwa mkurugenzi au mwajiri ni muhimu pia kuimarisha mahusiano ya kikazi kwa mbinu tofauti tofauti. Kufuturisha ni jambo la kawaida tu
Wivu ni ugonjwa, tafuta wataalam wa saikolojia wakusaidie.Una miaka mingapi ya kuzaliwa? Ufisadi ni pamoja na kutumia cheo chako vibaya!
Mgonjwa ni wewe unayeamini mwanamke hawezi kuwa fisadi! Kuna tatizo la malezi hapo!Wivu ni ugonjwa, tafuta wataalam wa saikolojia wakusaidie.
Mbona jiwe alifuturisha IkuluAwamu hii nayo ina vituko vyake.
Hatutaki sensa si mliambiwa hii sio nchi ya kidini, hatuwezi kutumia resources za serikali kukusaidia wewe kujua una waumini wangapi kwanini msifanye wenyewe na maustadhi wenu. Cha kufurahisha zaidi ni kwamba hio movement yenu ilikua kipindi 2012 kipindi cha Mkwere ustadhi mwenzako.
Anafuturisha kama Mkurugenzi/Halmashauri au Yeye kama yeye binafsi?Kuna taarifa kuwa siku ya kesho mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni anaenda kufuturisha wenyeviti wa serikali za mitaa yote ya Kinindoni zaidi ya 150.
Nauliza haya ndio matumizi sahihi ya kodi zetu?
Je, akitokea mwingine akaamua kipaimara cha mtoto wake alishe wajumbe wote kwa hela za umma itakuwaje?
Au ndio urefu wa kamba wenyewe huu?
Zanzibar kuna waislamu 99% wewe umenufaika nini na hiyo idadi?Hutaki maana yake kuna sababu ya kutotaka. Mnajua waislamu ni wengi ila hofu yenu 😁 pole sana kijana
Zanzibar kuna waislamu 99% wewe umenufaika nini na hiyo idadi?
Commoro ipo chini ya nani?Itaendelea vipi chini ya Tanzania bara? Hebu wajitegemee uone itavyonawiri.
Tatizo la sheria za rushwa Tz hazijatafsiriwa vizuri.Ww aliyekwambia anatumia hela ya serikali nani au umbea tu unakusumbua huyo mkurugenzi hana hela ya kufutulisha? Wangetangaza manispaa ya kinondoni inafutulisha hapo sawa ujue kutofautisha maisha binafsi ya mtu na ya kazini
Sasa waislamu wenyewe kina Mwijaku na Juma Lokole wana faida gani?😄😄Hutaki maana yake kuna sababu ya kutotaka. Mnajua waislamu ni wengi ila hofu yenu 😁 pole sana kijana