Roho mbaya inamsumbuaWw aliyekwambia anatumia hela ya serikali nani au umbea tu unakusumbua huyo mkurugenzi hana hela ya kufutulisha? Wangetangaza manispaa ya kinondoni inafutulisha hapo sawa ujue kutofautisha maisha binafsi ya mtu na ya kazini
Mkurugenzi ni mtumishi wa umma kwanini aite wanasiasa?Ww aliyekwambia anatumia hela ya serikali nani au umbea tu unakusumbua huyo mkurugenzi hana hela ya kufutulisha? Wangetangaza manispaa ya kinondoni inafutulisha hapo sawa ujue kutofautisha maisha binafsi ya mtu na ya kazini
Sio sahihiRoho mbaya inamsumbua
Hoja hapa anatumia hela ya nani kufutarisha?hii nayo imekuwa mada hapa jukwaani???
Mkurugenzi sio mwanasiasa kwanini awaite viongozi wa CCM?Umejuaje kwa hela ya serikali? Tangu ramadhan imenza ni mwendo wa kutushambulia waisilamu.
Shida iko wapi apo?Mkurugenzi sio mwanasiasa kwanini awaite viongozi wa CCM?
Unaonekana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo. Kwanini asingefuturisha walimu au manesi ?
Haya mambo huanza hivi hiviKwani amesema anatumia hela za umma....!???
Mkuu tafuta hela hasira zipungue,,, hilo sio tukio la kiserikali.
Unaota wewe lete ushahidi hapa.Umejuaje kwa hela ya serikali? Tangu ramadhan imenza ni mwendo wa kutushambulia waisilamu,,,Alafu sikia hii nchi ina waisilamu wengi more than Christians, pagani n.k. Muwe wapole tu.