Cheo chako hakifungamani na imani yako ya dini na thawabu utakayopata haitokani na cheo chako! Kumbuka kufanya ibada unawasiliana na Mungu!Hii ni mujibu wa Sheria au Kanuni ipi kwamba ukitumia cheo basi lazima fedha za ofisi zitumike na ukitumia jina lako basi unatumia fedha zako binafsi?
Je Kama anatumia hela yakeKuna taarifa kuwa siku ya kesho mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni anaenda kufuturisha wenyeviti wa serikali za mitaa yote ya Kinindoni zaidi ya 150.
Nauliza haya ndio matumizi sahihi ya kodi zetu?
Je, akitokea mwingine akaamua kipaimara cha mtoto wake alishe wajumbe wote kwa hela za umma itakuwaje?
Au ndio urefu wa kamba wenyewe huu?
Ndiyo kuna shida kwani waalikwa watakuja kwa kuheshimu cheo chako na wala siyo imani yako wala mahusiano mliyonayo!Kuwaambia watu mmealikwa na mkurugenzi wa manispaa kuna shida? Na umejuaje anatumia fedha za umma? Mimi na wewe hatujui, ivyo tusimshuku.
Wewe akili zako umepeleka wapi? Kwani angetumia jina lake ujumbe usingefika? Anahofia nini kutumia jina lake? Uhusiano wake na aliyowaalika uko vipi au hafahamiki na watu ndiyo sababu akatumia cheo chake?Mimi nikiamua kufuturisha na kusema mnaalikwa kwa yule mfanyakazi wa HouseMaker company maana yake natumia pesa ya company?
Au kuna askari ameamua kufuturisha basi anatumia pesa za jeshi?
Nyie watu akili zenu mmezipeleka wapi?
Where's your damn brain?
Ni fedha za umma!Hivi zile futari za ikulu pesa zinatokaga wapi
Are you serious?Wewe akili zako umepeleka wapi? Kwani angetumia jina lake ujumbe usingefika? Anahofia nini kutumia jina lake? Uhusiano wake na aliyowaalika uko vipi au hafahamiki na watu ndiyo sababu akatumia cheo chake?
Angetumia jina lake! Kwa sababu akihamishwa hapo mwakani watu watauliza kwa nini mkurugenzi mpya hajafuturisha!Je Kama anatumia hela yake
Angetumia jina lake hawezi kujulikana kama ni mkurugenzi eeeAngetumia jina lake! Kwa sababu akihamishwa hapo mwakani watu watauliza kwa nini mkurugenzi mpya hajafuturisha!
Mkurugenzi wa wilaya, anafuturisha wenyeviti wa...! Hivi hadi hapo bado una amini pesa za kwake? Ungesikia hivi, "Bwana Mazindu anategemea kufuturisha kina fulani bin fulani.." then sie wazee wa majungu tukajiuliza huyo Mazindu ni nani? Halafu jibu likaja kua ni mkurugenzi wa wilaya, hapo wala isingeleta maswali walaWw aliyekwambia anatumia hela ya serikali nani au umbea tu unakusumbua huyo mkurugenzi hana hela ya kufutulisha? Wangetangaza manispaa ya kinondoni inafutulisha hapo sawa ujue kutofautisha maisha binafsi ya mtu na ya kazini
Does it matter?Mkurugenzi wa wilaya, anafuturisha wenyeviti wa...! Hivi hadi hapo bado una amini pesa za kwake? Ungesikia hivi, "Bwana Mazindu anategemea kufuturisha kina fulani bin fulani.." then sie wazee wa majungu tukajiuliza huyo Mazindu ni nani? Halafu jibu likaja kua ni mkurugenzi wa wilaya, hapo wala isingeleta maswali wala
Kwani mkurugenzi ni nani afahamike na kila mtu? Sana sana anafahamika na watumishi wenzake au na watu aliowahudumia na waumini wenzake. Hapa nilipo simfahamu mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya wala mkurugenzi wa wilaya kwa sababu sijapata huduma yao moja kwa moja!Are you serious?
Yaani mkurugenzi wa manispaa asifahamike?
Ndio hafahamiki na watu na ndio maana ametumia cheo chake.
Yes it matters and we care public funds!Does it matter?
Who cares?
Ibada yake haina uhusiano na cheo chake bali na Mungu!Angetumia jina lake hawezi kujulikana kama ni mkurugenzi eee
Ukiishi kwa chuki maisha haya utakufa mapema.Kuna taarifa kuwa siku ya kesho mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni anaenda kufuturisha wenyeviti wa serikali za mitaa yote ya Kinindoni zaidi ya 150.
Nauliza haya ndio matumizi sahihi ya kodi zetu?
Je, akitokea mwingine akaamua kipaimara cha mtoto wake alishe wajumbe wote kwa hela za umma itakuwaje?
Au ndio urefu wa kamba wenyewe huu?
Umemsoma niliye m qoute mkuu?Does it matter?
Who cares?
How do you know that?Yes it matters and we care public funds!