Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 247
- 715
Ukitaka ubaya dai chakoMakamanda wananipiga chenga hawataki kulipa madeni yangu wanasema hawajapata...
Yaani unawatangazia wajeda unawadai wakati kamanda wao inchifuu boli linatembea!Makamanda wananipiga chenga hawataki kulipa madeni yangu wanasema hawajapata mshahara mpaka Jana jioni wqkati watumishi wengine tiyari wamenipa changu.
Mbona hii hali si kawaida au wameamua kunitapeli?
banaaa wewee sikilizia next weekMakamanda wananipiga chenga hawataki kulipa madeni yangu wanasema hawajapata mshahara mpaka Jana jioni wqkati watumishi wengine tiyari wamenipa changu.
Mbona hii hali si kawaida au wameamua kunitapeli?
😳JamanEmbu acha makelele yako hapa wewe,kwani wewe Ni Mtumishi wa umma? Hayo majeshi Ni mangapi ? Unakiasi gani Cha fedha Cha kukopeshwa hayo majeshi? Umekaa na kadi za benki mkononi mwako za hayo majeshi?
Unafahamu Tarehe za kupokea mshahara watumishi wa umma? Wewe unahusika vipi na mishahara ya watumishi wa umma?
Madeni yako na wadeni wako yanaingiaje katika masuala ya kiutumishi na kiserikali? Kwanini usiende kuwadaia madeni yako tu?
Uwe na adabu siyo kuandika tu vitu visivyokuhusu na kuichafua serikali yetu.
Hujuwi chochote kuhusu watumishi na taratibu za kiutumishi halafu unakuja kuandika andika tu hapa utafikiri umelewa Pombe.
🤣banaaa wewee sikilizia next week