Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

Alikusoma na kuona kuwa wewe ni mjinga na unafaa kupigwa. Hamjifunzi tu? Unampa mtu fedha ahangeike kulima na taabu nyingine zote halafu akuletee fedha nyumbani! Maisha siyo rahisi namna hii.
 
Wewe ndiye member nanga kuliko wote hapa JF kwa haya mawazo ya kijinga uliyonayo.
 
Ulifanya kilimo cha online mkuu ukasubiri ufanyiwe delivery ya Faida?? pole sana ila kiukweli mwenzio kakupiga
 
Dah yan nimetoa hela nying sana zaid ya 2.5m
Uwe unafika shambani kiongozi.....Hizo story huku usukumani ni kawaida sana kuibiwa shambani kimazingara ila sio Kwa kiwango hicho, pia Kuna wizi tu wa kawaida masimela wanavizia tu hamjaenda kulinda wanapita nao yaani wanauvuna kabisaaa..ila kupigwa gunia zote hizo "kitamaduni" hakuna...
 
Hizo stori kwenye mazao ni zakawaida, hapo umepigwa hakuna uchawi. Hata kwenye walanguzi wa mazao wanapigwagwa saaana Kwa staili ya kumtuma MTU akaku langulie mzigo eti wewe uko bize na mambo mengine.
 
Kwa tuliowahi kuishi pande hizo yote mawili yanawezekana.Kule watu hawalimi bila dawa.Niliwahi kulima karanga eka 2 nikapata debe 5
 
Hapo Umepigwa babu,je uliwahi kuliona shamba baada ya kupanda mpunga,? Maana hapa naona kabisa dalili kuwa uliigwa kuanzia hela ya kukodi Hadi kuvunia kwa maana ya kwamba shamba hakulima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…