Katika nchi nyingi za Kiafrika, viongozi wa kisiasa wamekuwa wakikabiliwa na maswali na ukosoaji kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Moja ya mambo yanayozua mjadala mkali ni ukubwa wa misafara ya raisi, ambayo mara nyingi inajumuisha idadi kubwa ya magari. Hivi karibuni, suala hili limeibua hisia tofauti baada ya raia kuhesabu idadi ya magari kwenye msafara wa raisi unahusisha takribani magari 118. Swali linalozuka ni je, hili ni uwajibikaji au matumizi mabaya ya rasilimali za umma?
Raisi anaruhusuwi kuwa na masafara wa watu wangapi heby tusaidie wewe unayejua mkuu maana wengine hatuna study mwisho wa msafara wa raisi ni kiwango kipi
Kwa kiasi kikubwa kila alieona na kusika alibaki na mshangao !
Lakini tukumbuke Magufuli msafara wake wakati mwingine ulikuwa unasindikizwa na helkopta.
Huo msafara una boost uchumi wa sehemu zote unzopita na kulala.
Huo ndiyo uliouona tu, baki wanaotangulkia kuweka njia sqa, baki wanaokuja nyuma. Baki wanaotoka sehemu mbali mbali za karibu na mbali kuwafata mawaziri na Rais mwenyewe.
Hii misafara mimi naipenda sana, iwe inazunguka Tanzania nzima bila kusita.
Kama haitoshi, huko wanakopita kote, wanatazama kusikokuwa na miradi inakuja kuanzishwa, ili wa boost uchumi wa hizo sehemu.
Wakikaa tu Dar au Dodoma, mzunguko wa pesa unakuwa mdogo sana sehemu zingine.
Hiyo mizunguko na misafara ni chanya sana kuliko unavyofikiria.
Huo msafara una boost uchumi wa sehemu zote unzopita na kulala.
Huo ndiyo uliouona tu, baki wanaotangulkia kuweka njia sqa, baki wanaokuja nyuma. Baki wanaotoka sehemu mbali mbali za karibu na mbali kuwafata mawaziri na Rais mwenyewe.
Hii misafara mimi naipenda sana, iwe inazunguka Tanzania nzima bila kusita.
Kama haitoshi, huko wanakopita kote, wanatazama kusikokuwa na miradi inakuja kuanzishwa, ili wa boost uchumi wa hizo sehemu.
Wakikaa tu Dar au Dodoma, mzunguko wa pesa unakuwa mdogo sana sehemu zingine.
Hiyo mizunguko na misafara ni chanya sana kuliko unavyofikiria.
Kwa nchi Kama hizi zetu walau kuwe na Gari 150 kwenye msafara wake na kwa nchi za ulaya labda wao wanaruhusiwa kuwa na Gari chache kuliko hizi 150 maana pesa nyingi wanachukua Afrika
Trump alisema viongozi wa afrika ni vichaa akimtolea Mfano huyu.hayo ni matumizi mabaya ya pesa za umma.kwa kiongozi anayejielewa hawezi kuruhusu msururu wa magari zaidi ya miamoja kuambatana nayo.magari mengi yanaleta matumizi makubwa yasiyo na tija yanayopelekea miradi mingine kusimamia.ukienda china,marekani,uingereza Austria,ujerumani ambako wanatuzidi Kila kitu hukuti huo upuuzi.misafara ya huko gari Tano au sita basi.
Unatakiwa utambue kuwa hayo magari yote ni mapya bimaana kuna gharama kubwa ilotumika kuyanunua.
Pia unatakiwa utambue hayo magari yana gharama ya uendeshaji Mathalan mafuta,matengenezo n.k n.k.
China kwenyewe viongozi wakifanya misafara hawatumii wingi wa magari namna hiyo na miradi KILA SIKU inaanzishwa.
Tukubali tukatae huu ni ubadhirifu wa mali za umma.
Unatakiwa utambue kuwa hayo magari yote ni mapya bimaana kuna gharama kubwa ilotumika kuyanunua.
Pia unatakiwa utambue hayo magari yana gharama ya uendeshaji Mathalan mafuta,matengenezo n.k n.k.
China kwenyewe viongozi wakifanya misafara hawatumii wingi wa magari namna hiyo na miradi KILA SIKU inaanzishwa.
Tukubali tukatae huu ni ubadhirifu wa mali za umma.
Hizo pesa zingetumika katika masuala muhimu zaidi.
Hivi madam unatambua kuwa bima ya afya kwa watoto imesitishwa!?
Serikali ikidai mambo kubana halafu pesa wanatumia kurundika magari zaidi ya idadi.
Tanzania is a failed state.
Kungekuwa kuna mbezi kadhaa muundo wa hiace na landrover kadhaa kungeharibika nini!?
Pia kulikua na ulazima upi wa kuandamana viongozi lukuki katika msafara!?
Hizo pesa zingetumika katika masuala muhimu zaidi.
Hivi madam unatambua kuwa bima ya afya kwa watoto imesitishwa!?
Serikali ikidai mambo kubana halafu pesa wanatumia kurundika magari zaidi ya idadi.
Tanzania is a failed state.