Je, Msigwa ndani ya CCM ni assert ama ni liability?

Je, Msigwa ndani ya CCM ni assert ama ni liability?

Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.

Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.

Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.

Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?

Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?

Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.

Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.

Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Mkuu huyu Msigwa hata kile kitengo cha Idealogy and Publicity pale CCM hakiwezi na anapwaya vibaya mnoo. Nadhani CHADEMA alikuwa anapewa mentorship sasa kule CCM kila mtu yupo kivyake atapata tabu sana
 

Msigwa huko CCM ni kama zigo la mavi habebeki. Kumtukana Mbowe hakuisaidii chochote CCM.

Mkuu huyu Msigwa hata kile kitengo cha Idealogy and Publicity pale CCM hakiwezi na anapwaya vibaya mnoo. Nadhani CHADEMA alikuwa anapewa mentorship sasa kule CCM kila mtu yupo kivyake atapata tabu sana
Na aliwaaminisha ccm kwamba akiondoka CHADEMA.. Chama kitayumba maana ataondoka na FUSO la wanachama!!!
 

Msigwa huko CCM ni kama zigo la mavi habebeki. Kumtukana Mbowe hakuisaidii chochote CCM.

Mkuu huyu Msigwa hata kile kitengo cha Idealogy and Publicity pale CCM hakiwezi na anapwaya vibaya mnoo. Nadhani CHADEMA alikuwa anapewa mentorship sasa kule CCM kila mtu yupo kivyake atapata tabu sana
Na aliwaaminisha ccm kwamba akiondoka CHADEMA.. Chama kitayumba maana ataondoka na FUSO la wanachama!!!
 
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.

Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.

Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.

Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?

Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?

Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.

Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.

Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Pale ni dustbin yule ndugu, sio wote ila ngozi nyeusi tupo na laana nyingi na zingine za kujitakia tu
 
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.

Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.

Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.

Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?

Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?

Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.

Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.

Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Kuhusu Msigwa ndani ya CCM, maoni yanaweza kutofautiana kulingana na mtazamo wa kisiasa wa mtu.

1. Assert (Faida):
Wanaweza kusema kwamba Msigwa ni faida kwa CCM kutokana na uzoefu wake, ujuzi wa kisiasa, na uwezo wa kuwasiliana na wapiga kura. Anaweza kusaidia katika kuimarisha chama na kujenga uhusiano mzuri na jamii.

2. Liability (Hasara):
Wengine wanaweza kuona kwamba Msigwa ni hasara kwa CCM, hasa kama anakuwa na mtazamo tofauti na sera za chama, au kama anashindwa kuendana na matarajio ya wapiga kura.
Pia, ikiwa kuna migongano ya ndani ya chama, anaweza kuonekana kama chanzo cha matatizo.

Kimsingi, inategemea jinsi watu wanavyoona mchango wake katika chama na kwenye siasa kwa ujumla.
 
Wafahamu watu watatu Tanzania wanaodaiwa BILLIONS kwa kosa la kuchafua watu bila ushahidi (Defamation)
1-Cyprian Musiba aliyakanyaga kwa Membe (2B)
2-Mwijaku Mwemba kwa Masoud Kipanya (5B)
3-Peter Msigwa kwa Mbowe,(5B)

Midomo iliponza kichwa 😂
Screenshots_2024-09-07-23-13-05.png
😂😂
 
Wafahamu watu watatu Tanzania wanaodaiwa BILLIONS kwa kosa la kuchafua watu bila ushahidi (Defamation)
1-Cyprian Musiba aliyakanyaga kwa Membe (2B)
2-Mwijaku Mwemba kwa Masoud Kipanya (5B)
3-Peter Msigwa kwa Mbowe,(5B)

Midomo iliponza kichwa 😂View attachment 3089783View attachment 3089783😂😂
 
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.

Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.

Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.

Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?

Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?

Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.

Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.

Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Hivi bado hajapata ukuu wa wilaya ama wa mkoa kumbe yuko chini ya uangalizi? mimi nilidhani ukijiunga tu unapewa, I thought it is an easy go
 
Msigwa ni mwanaccm sasa, kama ni asset au liability wewe mwanachadema inakuhusu nini? Mambo ya ccm waachie ccm wenyewe wataamua kumtumia kadri wanavyoona inawafaa. Inaelekea Msigwa amewashika pabaya chadema
 
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.

Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.

Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.

Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?

Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?

Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.

Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.

Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Ni liability minus asset😀
 
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.

Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.

Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.

Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?

Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?

Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.

Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.

Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Kama vile ambavyo CCM kilivyokuwa "net loss" ndani ya taifa hili ndivyo hata ambavyo alvyokuwa "liability" mtu huyu ndani ya chama hiki.
 

Attachments

  • IMG_20240904_154630.jpg
    IMG_20240904_154630.jpg
    40.5 KB · Views: 1
Msigwa kaenda kuji boost ccm,atakuwa aliishiwa kabisa ujanja wa kuishi.
Ana bwabwaja haelewi tena anachosimamia.
Ni bonge la Liability
 
Back
Top Bottom