Je, mtaji wa hisa Ulioidhinishwa huhesabiwaje wakati wa kufungua kampuni?

Je, mtaji wa hisa Ulioidhinishwa huhesabiwaje wakati wa kufungua kampuni?

Kulupango

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
288
Reaction score
535
Msaada ndugu
Mtaji wa hisa Ulioidhinishwa huhesabiwaje wakati wa kufungua kampuni? How is Authorised share capital calculated?
 
Nadhani wana panga bei ya hisa moja kisha wana divide by capital/stock.
Ingawaje thamani ya hisa itategemea demand and supply.

Demand ya hisa zako/zenu ikiwa juu that means thamani ya hisa lazima itapanda, vise versa is true.

Wataalamu watakuja kuelezea vizuri, mimi sina ufahamu mkubwa na haya mambo.
 
Nadhani wana panga bei ya hisa moja kisha wana divide by capital/stock.
Ingawaje thamani ya hisa itategemea demand and supply.

Demand ya hisa zako/zenu ikiwa juu that means thamani ya hisa lazima itapanda, vise versa is true.

Wataalamu watakuja kuelezea vizuri, mimi sina ufahamu mkubwa na haya mambo.
Mkubwa naomba unitolee kamfano hapo ntashukuru, maana navurugwa
 
Mambo yenye tija kama haya sijui kwanini watu hawana mzuka nayo, hii ni Elimu nzuri na inaweza kumuongezea mtu maarifa.

Weka sasa bandiko kumuhusu Diamond au Harmonize au kuwahusu wanawake uone [emoji848]
 
Mambo yenye tija kama haya sijui kwanini watu hawana mzuka nayo, hii ni Elimu nzuri na inaweza kumuongezea mtu maarifa.

Weka sasa bandiko kumuhusu Diamond au Harmonize au kuwahusu wanawake uone [emoji848]

Ungeanza wewe kuchangia mkuu badala yakuleta mipasho
 
Back
Top Bottom