Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashukuru mkuu kwa ufafanuzi,je ni kampuni ipi ni bora kwa vifaranga vya layers kwa uzoefu wakoInaweza tosha kwa kubana bana sana, kuku 100 wale angalau milion 1 na point hadi kuanza kutaga.
kuku 600 angalau milion 6+ inaweza watosha.
Hapo ni chakula pekee make chakula ni asilimia 70 ya gharama zote za ufugaji.
Andaa 12Mil.shukran kwa ushauri wako.
Weka 400, kampuni za Vifaranga zipo nyingi lkn nakushauri chukulia silverland. Chakula uwe wanunua cha NASSAD kwa hapo Tanga kwa uzoefu wangu maana mitaa hio nimewah kufuga.Shukran mkuu. Kwa uzoefu wako hyo 8ml inaweza faa idadi gani. Na vp kampuni za vifaranga vizuri
Usimdanganye mwambie ukweli tu kwa kuku 600 hiyo pesa haitoshi pia usiingie kichwa kichwa hii biashara inataka ujuzi na uvumilivu hasara na Faida zinakaribiana sana.Inaweza tosha kwa kubana bana sana, kuku 100 wale angalau milion 1 na point hadi kuanza kutaga.
kuku 600 angalau milion 6+ inaweza watosha.
Hapo ni chakula pekee make chakula ni asilimia 70 ya gharama zote za ufugaji.
Shukran sana mkuu muongozo,Vp kuhusu kumix chakula wakiwa wakubwa kwa jamii hii ya layers. Au ni watakula special food maisha yao yoteWeka 400, kampuni za Vifaranga zipo nyingi lkn nakushauri chukulia silverland. Chakula uwe wanunua cha NASSAD kwa hapo Tanga kwa uzoefu wangu maana mitaa hio nimewah kufuga.
Shukran sana mkuu muongozo,Vp kuhusu kumix chakula wakiwa wakubwa kwa jamii hii ya layers. Au ni watakula special food maisha yao yoteWeka 400, kampuni za Vifaranga zipo nyingi lkn nakushauri chukulia silverland. Chakula uwe wanunua cha NASSAD kwa hapo Tanga kwa uzoefu wangu maana mitaa hio nimewah kufuga.
sawa mkuu, je kwa uzoefu wako hiyo bajeti inafaa kwa idadi gani. Waweza kuweka ABC kama hautojaliUsimdanganye mwambie ukweli tu kwa kuku 600 hiyo pesa haitoshi pia usiingie kichwa kichwa hii biashara inataka ujuzi na uvumilivu hasara na Faida zinakaribiana sana.
Mkuu nashukuru kwa ushauri. Itabidi nianze kwanza na idadi ndogo8M kwa ufugaji wa kuku wa mayai (layers) 600, hiyo pesa haitoshi. Huo ndio ukweli mchungu, hao wanao kwambia inatosha hawana uzoefu wowote ule na ufugaji. Wana andika tu kwakuwa wameona ni 8M basi wakajua inaweza tosha.
Ufugaji wa kuku wa mayai (layers) una hatua nyingi mpaka kufikia kuku kutaga. Kwa wastani kifaranga mmoja anahitaji si chini ya Tsh 15k kwa matumizi mpaka kufikia kutaga, hivyo kwa kuku 600 unahitaji uwe na wastani wa Tsh 9M mpaka 10M. Hiyo pesa ni kwa ajili ya ununuzi wa kifaranga, chakula, chanjo na madawa. Banda inabidi uwe nalo tayari, hiyo pesa haihusiani na ujenzi wa banda.
Kwa ushauri mwingine, ni vizuri zaidi ukaanza na kuu 200 ili kupata uzoefu na kujifunza zaidi. Haishauriwi unapo anza kuanza na idadi kubwa ukiwa mgeni kwenye sekta hiyo, anza na kidogo utakuwa unaongeza kidogo kidogo mpaka kufikia idadi unayo itaka. Kila la kheri na karibu. View attachment 3186544