Uzungu unawacost sana smile. Kuna style flani wanalazimisha waonekane ni premier wakati soko la sasa watu wanapenda ofa na bwerere...
Ukishindwa kujiandaa jiandae kushindwa, hao jamaa naona strategically walikuwa sifuri, maana mtandoa huu naskia ulianza huko nigeria saizi wana matawi congo, uganda na tz...Yani hapo uganda kupata kifurushi cha siku ni gb 4 na ni elf 10 ya huku...
Nyie jamaa mnaona biashara ni mchezo mchezo tu?
-Vodacom part ya Vodafone kampuni papa Duniani lina MA asset mengi, matrilioni ya Hela, pato LA mwaka tu ni budget ya Nchi nzima ya miaka kadhaa
-Tigo nao Hivyo Hivyo kampuni kubwa stock kibao nje ya nchi, makumi ya trilioni wanaingiza,
-Halotel nayo ni Ttcl ya Vietnam, Wana serikali nzima ina wa backup
-then una smile kakampuni kadogo ambacho kameanzishwa kwa mikopo na ku raise funds mbalimbali.
Hao mapapa wanaweza ku afford kukupa ofa za kupiga Bure hadi kuche, Wana cash za kutosha hata ku operate miaka kadhaa kwa loss ilimradi tu baadae waje wapate faida
Smile Hana luxury hio ndio maana akatafuta niche yake, yeye ndio wa kwanza kuileta 4g Tanzania na pia wao Wana Vo-lte Hali ya kuwa mitandao mikubwa Hawana, walibase na maofisi na makampuni makubwa kuwapa hio service.
Sijui kilichowapata ni nini ila makampuni yanapofunga biashara automatic na wao biashara Yao ina anguka.