Je, mtandao wa Smile umefunga virago Tanzania?

Je, mtandao wa Smile umefunga virago Tanzania?

Naijua mkuu ila ethics zinanibana siwezi sema mengi. Nikupe dodoso tu. Angalia net worth ya rostam ni trilioni ngapi jumla yote accordong to Forbes then utajua kuwa ukiigawanyisha kwenye investments zake zote utaona inakujaje angalau utakadiria.
Forbes wenyewe waongo tu.

R.Mengi aliulizwa khs taarifa za utajiri wake zilizoandikwa na Forbes akasema kama mwaka wangu wa kuzaliwa tu hawaujui/wamedanganya vipi kha ukweli khs Net worth yangu?

Forbes panawafaa wakina MO wanaopenda makelele kelele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Forbes wenyewe waongo tu.

R.Mengi aliulizwa khs taarifa za utajiri wake zilizoandikwa na Forbes akasema kama mwaka wangu wa kuzaliwa tu hawaujui/wamedanganya vipi kha ukweli khs Net worth yangu?

Forbes panawafaa wakina MO wanaopenda makelele kelele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Forbes wapo kwa ajili ya standardization mkuu. Ukisema hivyo hata BOT na NBS wanapokadiria CPI wanatudanganya sana
 
Nasikia smile kwa sasa mtaji wao wamempatia Ontario akautrade kwenye forex
 
Chief fuatilia mijadala yote anayobishania hakubaligi kushindwa. So we mkaushie tu. Suala la wizi wa bundle tunalijua wengi tu kama yeye halijui basi ni collateral damage tu haiathiri conclusion kuwa voda wezi wa bundle na hata TCRA walishawahi watahadharisha.
Wabongo inabidi tuamke,kwanza huu mpango wa vifurushi vifurushi ndio wizi mtupu,kwa wenzetu hawana hizo sijui kifurushi cha usiku,wote ni wizi tu,vocha za kupiga na kununua internet basi,lkn sio kampuni ya simu ikupangie muda wa kupiga!
 
Umenena kweli.
Ila wangeamua kubadili market strategy yao wangefuata watu wa hali ya chini huku wawateke.... Mtandao ukiamua kudeal na coorperate tu haya ndio matokeo.
Strategy yao si ndiyo hiyo ya ku deal na wateja wa hali ya juu au mabosi? Huku chini kwa walala hoi tayari Voda, TIGO, airtel, Halotel wameshateka soko na maofa kibao. Hata kwenye biashara ya nguo kuna wenye boutiques au maduka makubwa ambapo kiatu tuu laki 3 mpaka 4, boxer tuu elfu 30, kadeti laki mbili etc.... Halafu kuna maduka kama yale ya Kariakoo kadeti elfu 20, kiatu elfu 15 etc...
 
Boda boda ndio inaleta tafsiri ya FMCG ama kurekebisha kikipata tatizo? Sijakuelewa. Je unajua hata bidhaa za sausages, kuku, kahawa, chai zote ni FMCG?
tafsiri hicho ulichoscreenshot, si maneno yangu umeweka mwenyewe, then relate na soko la internet
 
Rostam hayupo mass market? Acha kutuangusha mwamba.

Rostam anamiliki voda kwa over 15% na voda imejikita kwenye massmarket.

Pia ukiacha keyword ya FMCG basi umeikosa point yangu.

Anaefanya biashara ya FMCG halafu aka ignore mass market huyo kwishnei.

So nitajie biashara ya rostam inayodili na FMCG ambayo ime ignore mass market.
Rostam alishauza share zake za voda zamani akachukua mkwanja wake akasepa!
 
tafsiri hicho ulichoscreenshot, si maneno yangu umeweka mwenyewe, then relate na soko la internet
Najua kwakuwa hujasomea marketing itakuchanganya sana hiyo ila usijali kama unataka iwe ligi kuu nitakutumia recent desas zinazotumika kufundisha marketing kwenye MBA ujisomee
 
Strategy yao si ndiyo hiyo ya ku deal na wateja wa hali ya juu au mabosi? Huku chini kwa walala hoi tayari Voda, TIGO, airtel, Halotel wameshateka soko na maofa kibao. Hata kwenye biashara ya nguo kuna wenye boutiques au maduka makubwa ambapo kiatu tuu laki 3 mpaka 4, boxer tuu elfu 30, kadeti laki mbili etc.... Halafu kuna maduka kama yale ya Kariakoo kadeti elfu 20, kiatu elfu 15 etc...
Ndio mana wanakufa sasa. Miezi sasa hawapo sokoni hadi MiFi yao nimewapa watoto wachezee kwa hasira mana wamekula subscription yangu na haikuwa activated na customer service haipokelewi mwezi mzima mpaka subscription ime expire ya mwezi.

Bahati mbaya hiyo strategy kwenye soko la telecoms doesn't work. Voda walikuwaga hivyo sasa ikawaje wakabadilisha?
 
Wabongo inabidi tuamke,kwanza huu mpango wa vifurushi vifurushi ndio wizi mtupu,kwa wenzetu hawana hizo sijui kifurushi cha usiku,wote ni wizi tu,vocha za kupiga na kununua internet basi,lkn sio kampuni ya simu ikupangie muda wa kupiga!
TCRA imeshasema inachunguza madai ya ma co. Kuwaibia wateja vifurushi.
 
Wabongo inabidi tuamke,kwanza huu mpango wa vifurushi vifurushi ndio wizi mtupu,kwa wenzetu hawana hizo sijui kifurushi cha usiku,wote ni wizi tu,vocha za kupiga na kununua internet basi,lkn sio kampuni ya simu ikupangie muda wa kupiga!
mkuu mimi ni kati ya watu waliopata bahati kushuhudia revolution ya mobile data hapa Tanzania, tunadekezwa sana mpaka tunajisahau.

take your time mkuu google bei za vifurushi usa, ama ulaya na nchi nyengine zilizoendelea, bei ya data ni pasua kichwa.

tanzania ni moja ya nchi yenye vifurushi vya bei rahisi zaidi Duniani, hata usiende huko duniani nenda kwa majirani zetu hapo kenya na uganda uone vifurushi vinauzwaje, hizi bundle za safaricom
 
mkuu mimi ni kati ya watu waliopata bahati kushuhudia revolution ya mobile data hapa Tanzania, tunadekezwa sana mpaka tunajisahau.

take your time mkuu google bei za vifurushi usa, ama ulaya na nchi nyengine zilizoendelea, bei ya data ni pasua kichwa.

tanzania ni moja ya nchi yenye vifurushi vya bei rahisi zaidi Duniani, hata usiende huko duniani nenda kwa majirani zetu hapo kenya na uganda uone vifurushi vinauzwaje, hizi bundle za safaricom

Chief bei hazilinganishwi hivyo. Unatakiwa kuchukua price per household income ya Bongo na price per household income ya nchi nyengine.

Kwa lugha nyepesi kwanza unachukua bei ya kifurushi cha nchi nyengine unagawanya kwa pato la kaya ya huko. Then unachukua kwa Tanzania bei ya kifurushi unagawanya kwa pato la kaya ya Tanzania.

Mfano hata kodi za pango bongo ni cheap sana kuliko nje ila bongo zinaumiza zaidi mana inachukua sehemu kubwa zaidi ya kipato ndio mana unakuta biashara za fremu zinasua sua sana.
 
Ukishindwa kujiandaa jiandae kushindwa, hao jamaa naona strategically walikuwa sifuri, maana mtandoa huu naskia ulianza huko nigeria saizi wana matawi congo, uganda na tz...Yani hapo uganda kupata kifurushi cha siku ni gb 4 na ni elf 10 ya huku.

Naona wanalazimisha sera za huko nigeria wazitumie huku bongo na wamefeli, Mtandao kama halotel umeanza juzi juzi tu wakaenda na flow ya wabongo yani saizi mambo yao yako vizuri tu, watu wenye uchumi mdogo ni wengi na wanapendelea sana kutumia halotel kwa unafuu wa bei.

Hawa smile kiukweli internet yao ina kasi, wangecheza karata zao vizuri kwa flow ya kibongo saizi huu ungekuwa mtandao unaotumika sana na makampuni, vyuo, mashirika ya serikali, yani ungekuwa ni kama mtandao premium hivi
Hawa Smile nawasikia tu...hivi ukiwa na line yao unaweza kupiga simu au ni internet tu?
 
Chief bei hazilinganishwi hivyo. Unatakiwa kuchukua price per household income ya Bongo na price per household income ya nxhi nyengine.

Kwa lugha nyepesi kwanza unachukua bei ha kifurushi cha nchi nyengine unagawanya kwa pato la kaya ya huko. Then unachukua kwa Tanzania bei ya kifurushi unagawanya kwa pato la kaya ya Tanzania.

Mfano hata kodi za pango bongo ni cheap sana kuliko nje ila bongo zinaumiza zaidi mana inachukua sehemu kubwa zaidi ya kipato ndio mana unakuta biashara za fremu zinasua sua sana.
kwa hio hao kina voda ama tigo wakinunua infrastructure huko nje wanapewa bei rahisi sababu income yetu ni ndogo?

4g base station ya marekani na ya Tanzania bei ni tofauti?

wapelekee hii hoja pia Aplle na Samsung, iphone zianze kuuzwa laki 2.
 
Najua kwakuwa hujasomea marketing itakuchanganya sana hiyo ila usijali kama unataka iwe ligi kuu nitakutumia recent desas zinazotumika kufundisha marketing kwenye MBA ujisomee
Tulianza maada vizuri sana , ila dah unakoelekea 🤔🤔


tuliza munkari chief, hayo mambo ya kujipa pride kwa elimu ya darasani kwa vyeti yanabaki kabatini humu unakuja na hoja zako kama mtu alie elimika na sio kama mtu anaetumia nguvu kubwa ajulikane ni msomi

Anyway turudi kwenye maada
 
Back
Top Bottom