Je, mtandao wa Smile umefunga virago Tanzania?

Je, mtandao wa Smile umefunga virago Tanzania?

Rostam hayupo mass market? Acha kutuangusha mwamba.

Rostam anamiliki voda kwa over 15% na voda imejikita kwenye massmarket.

Pia ukiacha keyword ya FMCG basi umeikosa point yangu.

Anaefanya biashara ya FMCG halafu aka ignore mass market huyo kwishnei.

So nitajie biashara ya rostam inayodili na FMCG ambayo ime ignore mass market.
Rostam aliuza Voda muda tu akabakiwa na share kidogo ambazo nazo aliziuza karibuni.

Na ukitaka tubishane definitions wanayotoa kina voda na tigo ni service haijawahi Kuwa Goods, sio Tangible na Huwezi kuishika, ni huduma tu. Hivyo hayo mambo ya FMCG sijui umeyatolea wapi.
 
Rostam aliuza Voda muda tu akabakiwa na share kidogo ambazo nazo aliziuza karibuni.

Na ukitaka tubishane definitions wanayotoa kina voda na tigo ni service haijawahi Kuwa Goods, sio Tangible na Huwezi kuishika, ni huduma tu. Hivyo hayo mambo ya FMCG sijui umeyatolea wapi.
Chief kwenye marketing skuizi (waulize walosoma kuanzia miaka ya 2015) BBA na MBA kama ulisoma zamani sana mkuu, FMCG ina apply na upande wa services na wapo wanaoiita FMCG na wengine wanaiita FMCS.

All in all skuizi inatumika zaidi FMCP yaani Fast Moving Consumer Product ili kucover both sides kama vile ilivyo chairperson imechukua hatamamu badala ha chairman mana hii chairman ilikuwa gender biased.

Kuhusu Rostam kuuza hisa alikuwa na 35% ya voda akauza 2014 akabakiwa na 18% ambayo ndio aliiuza kipindi hiki cha kulazimishwa telecoms kuwa listed.

Ila ilikuwa miongoni mwa vitajirishi vyake vikubwa. Najua ningetaja recent businesses zake ungesema hazina muda haziwezi kuwa zimemtajirisha ndio mana nikataja voda ambayo ndio imempa utajiri mkubwa pamoja na real estate huko UAE.

My point is:

Ili mtu afanikiwe kwenye FMCG/FMCS/FMCP lazima awekeze zaidi kwenye mass market. Sasa smile wali relax hata minara ya kukodi walijisahau. Towers ni kama delivery vans kwa upande wa telecoms sasa wao kwenye delivery vans zero, kwenye product pricing zero, kwenye pitching zero. Hata kutafuta mtaji imewashinda na ni kampuni kubwa yenye asset base of billions. Dah
 
Chief kwenye marketing skuizi (waulize walosoma kuanzia miaka ya 2015) BBA na MBA kama ulisoma zamani sana mkuu, FMCG ina apply na upande wa services na wapo wanaoiita FMCG na wengine wanaiita FMCS.

All in all skuizi inatumika zaidi FMCP yaani Fast Moving Consumer Product ili kucover both sides kama vile ilivyo chairperson imechukua hatamamu badala ha chairman mana hii chairman ilikuwa gender biased.

Kuhusu Rostam kuuza hisa alikuwa na 35% ya voda akauza 2014 akabakiwa na 18% ambayo ndio aliiuza kipindi hiki cha kulazimishwa telecoms kuwa listed.

Ila ilikuwa miongoni mwa vitajirishi vyake vikubwa. Najua ningetaja recent businesses zake ungesema hazina muda haziwezi kuwa zimemtajirisha ndio mana nikataja voda ambayo ndio imempa utajiri mkubwa pamoja na real estate huko UAE.

My point is:

Ili mtu afanikiwe kwenye FMCG/FMCS/FMCP lazima awekeze zaidi kwenye mass market. Sasa smile wali relax hata minara ya kukodi walijisahau. Towers ni kama delivery vans kwa upande wa telecoms sasa wao kwenye delivery vans zero, kwenye product pricing zero, kwenye pitching zero. Hata kutafuta mtaji imewashinda na ni kampuni kubwa yenye asset base of billions. Dah
Rostam anapiga pesa ndefu kwenye kampuni yake ya Caspian, yeye ndio anatowa huduma ya machines migodini, acha kabisa hapo pana pesa ndefu sana.
 
Uzungu unawacost sana smile. Kuna style flani wanalazimisha waonekane ni premier wakati soko la sasa watu wanapenda ofa na bwerere.

Nawaza kama tigo isingepambana kipindi kile cha longa longa, chombeza, etc kiasi kwamba mtu anaongea bure masaa 12 kuanzia sa12 jioni hakika wasingetoboa. Walijitoa ufahamu wakachoma pesa nyingi sana tigo kupata nafasi waliyopo sasa.

Kama isingekuwa vile mobitel ingekuwa historia kwasasa. Smile nao walipaswa wapambane upande wa data wangepiga ofa za uhakika miezi sita ama mwaka hakika kwa watu wanavyopenda kuwa mitandaoni kila mtu angekuwa na simcard ya smile.
True man wajifunze kwa halotel
Kwa sasa kila mtu ana laini ya HALOTEL ofa bwelele
hata sisi MAROYAL wa TIGO na VODA tumeufyata
 
Rostam anapiga pesa ndefu kwenye kampuni yake ya Caspian, yeye ndio anatowa huduma ya machines migodini, acha kabisa hapo pana pesa ndefu sana.
Yeah ni kweli ila sikuitaja hiyo mana naijua hadi net assets figure yake. Haijafika hata nusu ya pesa amevuna alipouza hisa za voda. Voda alipouza awamu mbili alivuna zaidi ya 1T za kitanzania.
 
Kwenye Serikali Ninayoiongoza Mimi Hapendwi Mtu
Inapendwa Pesa Tu!!
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Chief kwenye marketing skuizi (waulize walosoma kuanzia miaka ya 2015) BBA na MBA kama ulisoma zamani sana mkuu, FMCG ina apply na upande wa services na wapo wanaoiita FMCG na wengine wanaiita FMCS.

All in all skuizi inatumika zaidi FMCP yaani Fast Moving Consumer Product ili kucover both sides kama vile ilivyo chairperson imechukua hatamamu badala ha chairman mana hii chairman ilikuwa gender biased.

Kuhusu Rostam kuuza hisa alikuwa na 35% ya voda akauza 2014 akabakiwa na 18% ambayo ndio aliiuza kipindi hiki cha kulazimishwa telecoms kuwa listed.

Ila ilikuwa miongoni mwa vitajirishi vyake vikubwa. Najua ningetaja recent businesses zake ungesema hazina muda haziwezi kuwa zimemtajirisha ndio mana nikataja voda ambayo ndio imempa utajiri mkubwa pamoja na real estate huko UAE.

My point is:

Ili mtu afanikiwe kwenye FMCG/FMCS/FMCP lazima awekeze zaidi kwenye mass market. Sasa smile wali relax hata minara ya kukodi walijisahau. Towers ni kama delivery vans kwa upande wa telecoms sasa wao kwenye delivery vans zero, kwenye product pricing zero, kwenye pitching zero. Hata kutafuta mtaji imewashinda na ni kampuni kubwa yenye asset base of billions. Dah
mkuu you need to check Caspian, Utajiri wa Rostam unatokana na Caspian ambayo ndio ina tenda kama zote kwenye Madini, jamaa anapewa tenda na kampuni hadi toshiba, Barrick, Bulyanhulu, mara, Debeers etc. project moja tu kama Kinyerezi inakaribia trilioni,

tuje kwenye point yako, kama kweli wewe umesoma biashara hebu ishauri small business
1. ipambane na big corporate kwa kuiiga
2. ama ipoambane na big corporate kwa kuji differentiate?

unatema madesa lakini unasahau wapinzani wa smile ni kina nani, hivi kampuni yenye mtaji chini ya trilioni inaweza shindana na mtaji wa trilioni 500 kujenga minara? smile walikuwa sahihi kujitofautisha na strategy yao iliwasaidia ndio maana hata ukiangalia kibongo bongo waliteka makampuni kibao,
-walitoa unlimited 4g wao na smart pekee ndio walikuwa na hii huduma
-wao pekee walikuwa na Vo-lte
-ndio walioanzisha 4g Tanzania etc

na hii strategy sio kwamba wameanza TZ tu wapo nchi nyingi na wamekuwa successfull. tunavyoongea sasa hivi Nigeria mapato yao yanafika bilioni 600, na pia walitangaza 2020 wanaenda DRC.
 
Yeah ni kweli ila sikuitaja hiyo mana naijua hadi net assets figure yake. Haijafika hata nusu ya pesa amevuna alipouza hisa za voda. Voda alipouza awamu mbili alivuna zaidi ya 1T za kitanzania.
ni ngapi hio Net Asset? unaijua caspian mkuu? umejaribu hata kugoogle Tenda zake?
 
Shida hao mapapa wezi wa data,voda kifurushi chao cha gb 10 kwa wiki kwa elfu 10 kinaisha ndani ya siku 2!
hilo la bundle kuisha ni kwamba speed ya internet imeongezeka.

mitandao inakupa contents kutokana na speed yako. mfano youtube ukiwa na speed ndogo wanakupa quality ndogo kama 240p ama 144p, ila ukiwa na speed kubwa wanakupa quality kubwa kama 720p ama 1080p, hivyo bundle huisha haraka jinsi ulivyo na speed kubwa.

cha muhimu tafuta firewall uwe una monitor data kama kweli umetumia ama hujatumia hizo MB.
 
mkuu you need to check Caspian, Utajiri wa Rostam unatokana na Caspian ambayo ndio ina tenda kama zote kwenye Madini, jamaa anapewa tenda na kampuni hadi toshiba, Barrick, Bulyanhulu, mara, Debeers etc. project moja tu kama Kinyerezi inakaribia trilioni,

tuje kwenye point yako, kama kweli wewe umesoma biashara hebu ishauri small business
1. ipambane na big corporate kwa kuiiga
2. ama ipoambane na big corporate kwa kuji differentiate?

unatema madesa lakini unasahau wapinzani wa smile ni kina nani, hivi kampuni yenye mtaji chini ya trilioni inaweza shindana na mtaji wa trilioni 500 kujenga minara? smile walikuwa sahihi kujitofautisha na strategy yao iliwasaidia ndio maana hata ukiangalia kibongo bongo waliteka makampuni kibao,
-walitoa unlimited 4g wao na smart pekee ndio walikuwa na hii huduma
-wao pekee walikuwa na Vo-lte
-ndio walioanzisha 4g Tanzania etc

na hii strategy sio kwamba wameanza TZ tu wapo nchi nyingi na wamekuwa successfull. tunavyoongea sasa hivi Nigeria mapato yao yanafika bilioni 600, na pia walitangaza 2020 wanaenda DRC.
You want me to sympathize kwa wao kukosa mtaji na kukua? Nop. Hata mkuu wa nchi akifeli nampa makavu siwezi ku sympathize.

Hata kukosa mtaji ni weakness ya strategies za smile. Nani boya akawekeze wakati anaona kampuni inaendeshwa kama QNET wazee wa Good Morning hata mchana wa jua kali.
 
Rostam aliuza Voda muda tu akabakiwa na share kidogo ambazo nazo aliziuza karibuni.

Na ukitaka tubishane definitions wanayotoa kina voda na tigo ni service haijawahi Kuwa Goods, sio Tangible na Huwezi kuishika, ni huduma tu. Hivyo hayo mambo ya FMCG sijui umeyatolea wapi.

Mimi mwenyewe namshangaa.. internet inaingiaje katika group la fast movingly consumers goods wakati ni not tangible
 
mkuu you need to check Caspian, Utajiri wa Rostam unatokana na Caspian ambayo ndio ina tenda kama zote kwenye Madini, jamaa anapewa tenda na kampuni hadi toshiba, Barrick, Bulyanhulu, mara, Debeers etc. project moja tu kama Kinyerezi inakaribia trilioni,

tuje kwenye point yako, kama kweli wewe umesoma biashara hebu ishauri small business
1. ipambane na big corporate kwa kuiiga
2. ama ipoambane na big corporate kwa kuji differentiate?

unatema madesa lakini unasahau wapinzani wa smile ni kina nani, hivi kampuni yenye mtaji chini ya trilioni inaweza shindana na mtaji wa trilioni 500 kujenga minara? smile walikuwa sahihi kujitofautisha na strategy yao iliwasaidia ndio maana hata ukiangalia kibongo bongo waliteka makampuni kibao,
-walitoa unlimited 4g wao na smart pekee ndio walikuwa na hii huduma
-wao pekee walikuwa na Vo-lte
-ndio walioanzisha 4g Tanzania etc

na hii strategy sio kwamba wameanza TZ tu wapo nchi nyingi na wamekuwa successfull. tunavyoongea sasa hivi Nigeria mapato yao yanafika bilioni 600, na pia walitangaza 2020 wanaenda DRC.
Naijua mkuu ila ethics zinanibana siwezi sema mengi. Nikupe dodoso tu. Angalia net worth ya rostam ni trilioni ngapi jumla yote accordong to Forbes then utajua kuwa ukiigawanyisha kwenye investments zake zote utaona inakujaje angalau utakadiria.
 
Naijua mkuu ila ethics zinanibana siwezi sema mengi. Nikupe dodoso tu. Angalia net worth ya rostam ni trilioni ngapi jumla yote accordong to Forbes then utajua kuwa ukiigawanyisha kwenye investments zake zote utaona inakujaje angalau utakadiria.
ni 1B usd ambayo ni around 2.3 mpaka 2.4 trillion, hisa zake za voda Citizen wame report kama ni 500b, hivyo hazifiki hata 25% ya utajiri wake, je hio 75% iliobakia imetoka wapi?
 
Mimi mwenyewe namshangaa.. internet inaingiaje katika group la fast movingly consumers goods wakati ni not tangible
Pitia attachment wakati unajiandaa kushangaa. Jamani hata google hamuwezi itumia kujua kuwa skuizi modern marketing kuna FMCG kwenye services? Just take off the G and put S. Ndio mana hata benki wanasema bidhaa zetu wamepunguza kutumua huduma zetu mana definitions zinaongezeka aliesoma marketing this year sio kama wa five years ago
20210101_182645.jpg
 
Pitia attachment wakati unajiandaa kushangaa. Jamani hata google hamuwezi itumia kujua kuwa skuizi modern marketing kuna FMCG kwenye services? Just take off the G and put S. Ndio mana hata benki wanasema bidhaa zetu wamepunguza kutumua huduma zetu mana definitions zinaongezeka aliesoma marketing this year sio kama wa five years agoView attachment 1664889
ukitafsiri walichoandika hapo FMCS ina resonate na delivery ya FMCG inamaana kama mtu anauza viatu kile kitendo cha kumpa boda boda ampelekee mteja ndio FMCS, ama kumhudumia kiatu chake kikipata tatizo.

still hakuna mahusiano na unachoongea.
 
ni 1B usd ambayo ni around 2.3 mpaka 2.4 trillion, hisa zake za voda Citizen wame report kama ni 500b, hivyo hazifiki hata 25% ya utajiri wake, je hio 75% iliobakia imetoka wapi?

Alipokuwa na 35% hisa zake zilithaminiwa kuwa 1.1t na forbes. Alipouza 17% akapata 580b. Alipouza 18% ilobaki akapata almost same figure. All figures in Tshs.

So over 1t from voda incestments. Soma Forbes mkuu. Sasa kwenye utajiri wa 2.3t ukitoa 1t inabaki 1.3t weka real estate UAE na hiyo caspian ndio unapata hiyo 1.3t
 
ukitafsiri walichoandika hapo FMCS ina resonate na delivery ya FMCG inamaana kama mtu anauza viatu kile kitendo cha kumpa boda boda ampelekee mteja ndio FMCS, ama kumhudumia kiatu chake kikipata tatizo.

still hakuna mahusiano na unachoongea.
Boda boda ndio inaleta tafsiri ya FMCG ama kurekebisha kikipata tatizo? Sijakuelewa. Je unajua hata bidhaa za sausages, kuku, kahawa, chai zote ni FMCG?
 
ukitafsiri walichoandika hapo FMCS ina resonate na delivery ya FMCG inamaana kama mtu anauza viatu kile kitendo cha kumpa boda boda ampelekee mteja ndio FMCS, ama kumhudumia kiatu chake kikipata tatizo.

still hakuna mahusiano na unachoongea.
Nikushauri kitu kimoja chief. Hebu tafuta makala inayoongelea FMCG uisome vzr mana naona nabishana na mtu ambae hajawahi ingia darasa la marketing kabisa yani kabisa.
 
Back
Top Bottom