abracadabra
Member
- Sep 8, 2010
- 9
- 0
I wish iwe hivihivi kwenye on the election day. I am sooooooooooooooooooooooooooooooooooo fade up of CCM. They make me sick.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raia Wa Tanzania, mwenye miaka zaidi ya 35, ana akili timamu, hajawahi kushtakiwa kwa uhalifu, na anayependekezwa na chama cha siasa.
Kwa kuwa mara nyingi Watanzania huwa hatuko makini na mambo muhimu inatulazimu tutumie zaidi ya miaka mitano kufikiria jina la rais anayetufaa kuongoza nchi.....wakati ttukiendelea kuwaza tumwachie kwanza Kikwete amalizie anachodhani amekibakiza then by that time tutakuwa tumempata mwenye uwezo wa kuongoza nchi hii; tusingelipenda kufanya majaribio kwenye post nyeti kama hii.
Unajua Dalili za mvua ni mawingu, na uwezo wa uongozi huanza katika familia then kwenye chama hatimae taifa. Sasa hizo SILAHA nyumbani zimekwishawalipukia watoto, kwenye chama zimeuzwa kwa bei rahisi marikiti; zinakwenda sasa zinafyatuka tu(hazina control) halafu tuzipeleke Ikulu...anyway tusingelipenda Somalia ya pili........uongozi na jazba no.............kama tumekosa mtu basi tumpe mama Maria Nyerere atawale nchi kwa jina la mmewe tutadumu japo mwezi baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa.
Bw.Dotori pamoja na Wadau wote naomba nianze kwa Kuomba Samahani,na Msamaha huu ni kuwa ntatoka nje ya Mada hii Kidogo.
Tumekuwa hadi hii Leo na Viongozi(Watawala) tulowachagua ktk Awamu nne tofauti(Zingatia Kung'atuka kwa Mwalimu)ndani ya misingi 'safi kabisa ya Kidemokrasia',na dhamira Kuu ya Watanzania wote kwa kuwachagua Watawala hawa ni ili basi watujengee Mazingira na Misingi bora Tujikwamue katika Dimbwi la Umasikini wa: Hali, Kiakili, Mali.
Tofauti yake ni kwamba:
Dimbwi hili la Umasikini limekuwa likiongezeka KINA kila Awamu,na watanzania walio Vijijini na hata Mijini, wazidi Kuzama kwasababu ya Afya Duni,Ujinga na Ulofa ulokidhiri,matokeo yake
Watanzania tunaishi Kimiujizaujiza tu,hakuna mipangilio,bora Liende!kwa mfano:Upo ndani ya daladala, kwa wale tunaoishi kati ya maeneo ya Magomeni(Mapp) na Fire, kila siku ya Mungu Unaona Kundi la watu,hawana vikapu mikononi,mabegi,au hata Ndoo za maji basi, likiwa kwa miguu linakatiza maeneo ya jangwani linaelekea katikati ya Jiji,watu wanajikusanya na kukaa katika vikundi ili kupiga Gumzo tu(Vijiweni)kwa kweli Nnajiuliza Maswali mengi sana pasipo majibu!!
Kuna usemi kuwa Muda kamwe Hauongopi!
Labda ni Uzee Unaingia au napatwa Na Wendawazimu sijui!,lakini yapata Miaka 40 hivi, kwa kweli sijaona Umuhimu/Sababu ya KUWA NA RAIS NCHINI TANZANIA.Nnaelekea kufikiri basi hata tukaweka PAKA MWITU pale Ikulu,bado hilo li-Nchi litakwenda tu!!
Bw.Dotori pamoja na Wadau wote naomba nianze kwa Kuomba Samahani,na Msamaha huu ni kuwa ntatoka nje ya Mada hii Kidogo.
Tumekuwa hadi hii Leo na Viongozi(Watawala) tulowachagua ktk Awamu nne tofauti(Zingatia Kung'atuka kwa Mwalimu)ndani ya misingi 'safi kabisa ya Kidemokrasia',na dhamira Kuu ya Watanzania wote kwa kuwachagua Watawala hawa ni ili basi watujengee Mazingira na Misingi bora Tujikwamue katika Dimbwi la Umasikini wa: Hali, Kiakili, Mali.
Tofauti yake ni kwamba:
Dimbwi hili la Umasikini limekuwa likiongezeka KINA kila Awamu,na watanzania walio Vijijini na hata Mijini, wazidi Kuzama kwasababu ya Afya Duni,Ujinga na Ulofa ulokidhiri,matokeo yake
Watanzania tunaishi Kimiujizaujiza tu,hakuna mipangilio,bora Liende!kwa mfano:Upo ndani ya daladala, kwa wale tunaoishi kati ya maeneo ya Magomeni(Mapp) na Fire, kila siku ya Mungu Unaona Kundi la watu,hawana vikapu mikononi,mabegi,au hata Ndoo za maji basi, likiwa kwa miguu linakatiza maeneo ya jangwani linaelekea katikati ya Jiji,watu wanajikusanya na kukaa katika vikundi ili kupiga Gumzo tu(Vijiweni)kwa kweli Nnajiuliza Maswali mengi sana pasipo majibu!!
Kuna usemi kuwa Muda kamwe Hauongopi!
Labda ni Uzee Unaingia au napatwa Na Wendawazimu sijui!,lakini yapata Miaka 40 hivi, kwa kweli sijaona Umuhimu/Sababu ya KUWA NA RAIS NCHINI TANZANIA.Nnaelekea kufikiri basi hata tukaweka PAKA MWITU pale Ikulu,bado hilo li-Nchi litakwenda tu!!
Nyie vipi? Anne Kilango Malecela for presidency 2010....nani hataki?
Do hapo tutakwisha, Sophia kabisaa? we si unajua mada zake zinahusu nini hasa hasa !!!mimi nampendekeza sophia simba...