Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .
On a serious note,what about Dk Slaa? Ama imani ishatutoka kabisa baada ya Dowans? Binafsi sioni kama Slaa alikuwa na kosa lolote lile na the man is more than qualified to be a president.
 
Kwi kwi kwi...Do you believe Miafrika ndivyo tulivyo?

Mangi acha vimitego vyako vya kitoto bana....we unadhani mi shorwe bwenzi wa kunitegeshea ulimbo usionata....Miafrika inakujaje hapa? We unam-miss Ngabu wewe....
 
Mangi acha vimitego vyako vya kitoto bana....we unadhani mi shorwe bwenzi wa kunitegeshea ulimbo usionata....Miafrika inakujaje hapa? We unam-miss Ngabu wewe....

Mbavu zangu wajameni,ama kweli duniani wawili wawili.
 
Haya kaeni mkao wa kula nimeshamaliza kuandika mawazo yangu nayofikiria raisi yetu mtarajiwa afanye nini kuipa sura mpya Tanzania....

na pia na jina la huyo mwanamke shupavu ambaye yo yo anataka kumjua....

brb!....wanawane
 
Fuatilia mjadala utaona kuwa mapendekezo ni rais mwanamke na kina mama kadhaa walishatajwa kama kina Anna Killango, Mama,Kelly,Makinda na Sophia Simba,fuatilia mjadala taratibu ndugu yangu na utaelewa tu,mara nyingi mijadala haiendi tunavyotaka lakini ukifuatilia na kuchangia then mjadala eventually utakuwa constructive,only if you carefully read and participate accordingly.

Jmushi i think ili wanawake waweze kuingia kwenyeuchaguzi wa raisi Tanzania inabidi wawape nao at least opportunity...tatizo ni kwamba kwenye nchi yetu culture, taboo, traditions, attitudes and beliefs zimetawala sana kiasi kwamba they make us women to look down upon ourselfves and especially during elections without supprting us.

ooh well back to your question...if a woman choosen kugombania kiti cha uraisi this is what i would like her to change...

- to have a president who is ready to listen and relate to people insted of dominate with powerfull.

-a president who is ready to work not for his own action but to fight for those who are being discriminted to get jobs (especially women)

-A president who is ready for change and progress on economy(our economy is unbalanced),security for our country,education (kila siku watu wanagoma why)etc...politics in tanzania has been gumed up with money and all kind of curruptions so we need a president who will engaged in working together with her people and his cabinet badala ya kusafiri kila siku alafu cha maana hatukioni (decision making).

-And also bring our country together...and we need new kind of politics na siyo same politics ambayo bado tunayo since utawala wa nyerere.

-
 
Fuatilia mjadala utaona kuwa mapendekezo ni rais mwanamke na kina mama kadhaa walishatajwa kama kina Anna Killango, Mama,Kelly,Makinda na Sophia Simba,fuatilia mjadala taratibu ndugu yangu na utaelewa tu,mara nyingi mijadala haiendi tunavyotaka lakini ukifuatilia na kuchangia then mjadala eventually utakuwa constructive,only if you carefully read and participate accordingly.

Yes Nimefuatilia na ndio maana nikasema ni vague analysis... yaani wewe ulivyosoma hizo in depth analysis za hao waliokuwa recommended ndio ukaona zinasogelea qualities, role and uzito wa rais wa kike?

Thanks anyway!!!
 
On a serious note,what about Dk Slaa? Ama imani ishatutoka kabisa baada ya Dowans? Binafsi sioni kama Slaa alikuwa na kosa lolote lile na the man is more than qualified to be a president.

YAh sure, DR. Silaa ni mwanamke sasa, na anafit ...... na wewe fuatilia mada, maybe i am too slow to catch up with you guys
 
Jmushi i think ili wanawake waweze kuingia kwenyeuchaguzi wa raisi Tanzania inabidi wawape nao at least opportunity...tatizo ni kwamba kwenye nchi yetu culture, taboo, traditions, attitudes and beliefs zimetawala sana kiasi kwamba they make us women to look down upon ourselfves and especially during elections without supprting us.

ooh well back to your question...if a woman choosen kugombania kiti cha uraisi this is what i would like her to change...

- to have a president who is ready to listen and relate to people insted of dominate with powerfull.

-a president who is ready to work not for his own action but to fight for those who are being discriminted to get jobs (especially women)

-A president who is ready for change and progress on economy(our economy is unbalanced),security for our country,education (kila siku watu wanagoma why)etc...politics in tanzania has been gumed up with money and all kind of curruptions so we need a president who will engaged in working together with her people and his cabinet badala ya kusafiri kila siku alafu cha maana hatukioni (decision making).

-And also bring our country together...and we need new kind of politics na siyo same politics ambayo bado tunayo since utawala wa nyerere.

-

Uuuuuuwiiiiii...Yesu na Maria! Ki-ghosti Kelly...wewe jikite tu kwenye mambo ya entertainment na u-miss. Haya ya siasa is not your forte!
 
Ng'waninyami,

Uuuuuuwiiiiii...Yesu na Maria! Ki-ghosti Kelly...wewe jikite tu kwenye mambo ya entertainment na u-miss. Haya ya siasa is not your forte!

Unless you are joking to Kelly, but i think she is alright! She might not know the complexity of politics, but she is political on her own right. Give her respect, mind you she started this thread.
 
YAh sure, DR. Silaa ni mwanamke sasa, na anafit ...... na wewe fuatilia mada, maybe i am too slow to catch up with you guys

Heading inasema "Sasa nani anafaa 2010?" Halafu kuna wakao suggest kuwa lets try a woman president,tukajadili na majina kadhaa yakatajwa,ndio maana nikasema fuatilia.
Based on nani anafaa kama heading inavyosema,hatuna limit ya gender,so nikapendekeza Slaa,anything wrong?
 
Uuuuuuwiiiiii...Yesu na Maria! Ki-ghosti Kelly...wewe jikite tu kwenye mambo ya entertainment na u-miss. Haya ya siasa is not your forte!

eeh wee ghosti vipi...anyways at least nina experience kwene nyanja mbali mbali entertainment na siasa sasa wewe where do you stand?.....mwenzio i got a B+ darasani plus kidogo Obama anichukue kwenye campaigne yake sema tuu nilikuwa swamped with stuff....hapo nimelonga ya maana.....i can be advisor wa jk si bure...

Hata ucheke useme nini mimi nakwambia sitingishiki...remember i refer myself like a woman with the testicle lockbox.....-🙂



Ng'waninyami,



Unless you are joking to Kelly, but i think she is alright! She might not know the complexity of politics, but she is political on her own right. Give her respect, mind you she started this thread.

Thank you..at leats someone ana appreciate my contribution...i appreciate.
 
Last edited:
Ninachojua ni kwamba Kikwete hafai kabisa kurudishwa madarakani kutokana na udhaifu mkubwa aliounyesha katika awamu yake ya kwanza. Labda Mwandosya, Mwakyembe n.k. lakini kamwe siyo Kikwete. Itakuwa ni ufisadi kwa yeyote atayemfanyia Kikwete kampeni ili arudi madarakani. Siyo siri kwamba uongozi umemshinda na Watanzania tunahitaji kiongozi mpya na juhudi za kumtafuta kiongozi huyo mapema labda zitazaa matunda.
 
Mimi nadhani ni wakati muafaka akijitokeza mwanamke hii 2010 kugombea hicho kiti cha raisi, it doesnt matter anatokea chama gani.Wako smart women kwenye Tanzanian politics wengi tuu ambao wana qualify.Mfano akina Anna Makinda (very smart and strong woman) na wala siyo FISADI.


Na ukisema kuwa hawa watu ni feminist utazua ugomvi mkubwa mno,cha maana ni kuzungumzia sifa za au uwezo mtu kwa nafasi atakayosimama kwa uchaguzi au accomplishment, sasa ukishaanza kuweka mwanaume/mwanamke hapa, to me it doesn`t make sense at all.
 
Heading inasema "Sasa nani anafaa 2010?" Halafu kuna wakao suggest kuwa lets try a woman president,tukajadili na majina kadhaa yakatajwa,ndio maana nikasema fuatilia.
Based on nani anafaa kama heading inavyosema,hatuna limit ya gender,so nikapendekeza Slaa,anything wrong?

Nah, just connecting the flow [of this thread], we looked at the title then got biased on gender, then you turn back to the title....

May be i see "flights of ideas" which can be some diagnosis... most probably that i may have mental issues

Thansk for reminding me about the title, i will go to see a doctor in dakika sifuri
 
Ofcourse we need to change,kikwete ameprove failure kwenye kila idara kiasi inatia aibu.Naomba mnisapoti kwa hili,kama JK asipowafunga mafisadi wenzake hadi june 2009 tumpe Dr Silaa au Mwandosya wanaonyesha wako serious.Mwenye data za wizi za hoa watu azianike kujadili.
Au tuharakishe kuruhusu mgombea binafsi ili tummwage JK kwani Mwandosya ana mpango wa kutoa pesa yake kwenye kampeni,ni hayo tu.
 
Ninachojua ni kwamba Kikwete hafai kabisa kurudishwa madarakani kutokana na udhaifu mkubwa aliounyesha katika awamu yake ya kwanza. Labda Mwandosya, Mwakyembe n.k. lakini kamwe siyo Kikwete. Itakuwa ni ufisadi kwa yeyote atayemfanyia Kikwete kampeni ili arudi madarakani. Siyo siri kwamba uongozi umemshinda na Watanzania tunahitaji kiongozi mpya na juhudi za kumtafuta kiongozi huyo mapema labda zitazaa matunda.

Jinsi nilivyo kusoma hapa inaonekana kabisa wewe unaamini kuwa upinzani hauna chao 2010. lakini ndani ya CCM zidhani kama kutakuwa na mabadiliko yoyote yale yatakayotokea kwenye nchi yetu Tanzania. kinchotakiwa sasa ni kuhakikisha kuwa upande wa upinzani unapata viti vingi vya ubunge ile ndani ya bunge kusiwe kunapitishwa hoja za ajabu ajabu bila ya kupingwa.
 
Back
Top Bottom