Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NINJA
lakini unadhani mikiki mikiki ya urais ataweza kukabiliana nayo kwani tz ya sasa imebadilika sana
Tanzania ya leo inahitaji mtu muadilifu na mkatili, ambaye hatashindwa kuwanyonga wezi wa mali ya umma.
Wadau,
Nimekuwa nikifuatilia mijadala inayoendelea katika forum hii. Nataka kutoa changamoto kwa wadau wenzangu ili tujadili swali lifuatalo:
Je, ni mtanzania gani ana SIFA na VIGEZO vya kuiongoza Tanzania? Wachangiaji wanaweza kupendekeza majina MATATU.
Itakuwa vyema kama wachangiaji watatoa sababu zinazowafanya watoe mapendekezo hayo?
Nawasilisha hoja.
Wadau,
Nimekuwa nikifuatilia mijadala inayoendelea katika forum hii. Nataka kutoa changamoto kwa wadau wenzangu ili tujadili swali lifuatalo:
Je, ni mtanzania gani ana SIFA na VIGEZO vya kuiongoza Tanzania? Wachangiaji wanaweza kupendekeza majina MATATU.
Itakuwa vyema kama wachangiaji watatoa sababu zinazowafanya watoe mapendekezo hayo?
Nawasilisha hoja.